Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Hajawahi kuwa na sufa yoyote nzuri zaidi ya kuwa mwizi mbabe na muongo kupata kutokea. Wenzie wakijaribu kusema ukweli kumhusu mashabiki wake itabidi mfe siku mbili na mfufuke siku ya tatu.
Tukisema Magufuli alichukiwa na watu wa vyeti feki kumbe ni kweli.

Sufa ndy mdudu gani?
[emoji23][emoji23]

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Wananchi tumeichoka CCM kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…