Mwaka 2017 niliandika wote walioshiriki kumpiga Lissu risasi watakufa na Lissu atashuhudia vifo vya adui zake. Hilo linaendelea kutimia

Mwaka 2017 niliandika wote walioshiriki kumpiga Lissu risasi watakufa na Lissu atashuhudia vifo vya adui zake. Hilo linaendelea kutimia

Kufa ni kufa tu kijana hata wewe pia utakufa waliompiga risasi nao watakufa na lissu nae atakufa....ndo dunia ilivyo yaani kufa ingekuwa adhabu ya kundi fulan asee dunia tungetesena sana bahati nzuri uwe mwema uwe mbaya utakufa tu.......so kijana chill kufa sio laana ni human nature..hata mimi nitakufa hata unasoma hapa utakufa so sio big deal sana wala sio laana kamwe
Yusuf makamba alisema wema hawafi na kawataja ambao hawatakufa: Kinana na Jk hawafi.
 
1709040027172.png
 
Tukio la Lissu kupigwa risasi lilikuwa la kishetani lililouchafua utawala wa awamu ya 5. Mbaya zaidi ni jinsi watawala wa wakati ule walivyo-act baada ya tukio wakiongozwa na anayetajwa kuwa mgombea mtarajiwa wa urais kupitia CHADEMA Mr Ndugai. Tunamshukuru sana Mama Samia kwa kujaribu kutibu majeraha yaliyosababishwa na awamu ya 5.
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lisu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lisu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.

Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa Sio tuu Lisu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.

Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.

Acha Nipumzike sasa
Humjataja aliekufa
 
Boss nimekusoma,nachelea kusema kufa sio adhabu,,,ikiwa umesema kifo ni nature...kwenye nature nikwambie tu hakuna adhabu,HAKUNA. Adhabu ni mambo ya akili

Kifo si adhabu kwako
Kisheria kifo ni adhabu, yapo makosa ukifanya adhabu yake ni kifo.
Kiimani kifo ni adhabu

Endeleeni kujifariji

Nature kifo ni asili
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lisu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lisu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.

Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa Sio tuu Lisu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.

Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.

Acha Nipumzike sasa
kwani bashite kafa? Lisu anasema bashite ndio alipanga ile issue ya kishetani.
 
Kufa ni kufa tu kijana hata wewe pia utakufa waliompiga risasi nao watakufa na lissu nae atakufa....ndio dunia ilivyo yaani kufa ingekuwa adhabu ya kundi fulani asee dunia tungetesena sana bahati nzuri uwe mwema uwe mbaya utakufa tu... so kijana chill kufa sio laana ni human nature... hata mimi nitakufa hata unasoma hapa utakufa so sio big deal sana wala sio laana kamwe
Kisheria kufa ni adhabu kubwa na ya juu kuliko zote.
Kiimani kufa ni laana.
Jeshini kifo ni adhabu ya wasaliti.
Kitaifa kifo ni adhabu ya wahaini

Nature kifo ni asili.

Sasa wewe endelea kujidanganya
 
Na wewe ukifa kuna watu watasema mabaya yako ujue hata kama ulikula kwa jirani kilafi
Kuwa uyaone kijana
Dunia hii watu wanaropoka na kupanga kana kwamba ni wasaidizi wa mtoa roho
Kumbe ni viumbe kama sisimizi tu
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lisu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lisu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.

Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa Sio tuu Lisu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.

Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.

Acha Nipumzike sasa
Kwanini wewe hutakufa?
 
Nilikuwa nakufuatilia sana. Nikafikiri kuwa ww ni muumini wa dhehebu la kisabato.Na nimewafuatilia sana wasabato huwa hawana Imani za kuombea visasi. Nashangaa ww unaombea visasi kwa, watu wengine. Nimeshituka sana na nimeshangaa. Lakin amin nakwambia, maamuz yote ni ya, mwenyez mungu wa mbinguni. Hakuna binadamu atakayemtabiria kifo mwenzake. Nakuomba ufute kauli zako. Sio nzuri hata, kwa, Lissu na ww, mwenyewe.
Unasoma biblia gani? Petro hakuwatabilia kifo wale mtu na mkewe walioiba sadaka? Musa hakutabili vifo vya uzao wa kwanza kila familia?
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lisu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lisu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.

Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa Sio tuu Lisu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.

Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.

Acha Nipumzike sasa
Boss wao yuko kaburini Chato badala ya ikulu
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lisu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lisu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.

Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa Sio tuu Lisu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.

Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.

Acha Nipumzike sasa
Lile adui kubwa lilipo kufa dunia ilipumua
 
Back
Top Bottom