Mwaka 2017 niliandika wote walioshiriki kumpiga Lissu risasi watakufa na Lissu atashuhudia vifo vya adui zake. Hilo linaendelea kutimia

Yusuf makamba alisema wema hawafi na kawataja ambao hawatakufa: Kinana na Jk hawafi.
 
Tukio la Lissu kupigwa risasi lilikuwa la kishetani lililouchafua utawala wa awamu ya 5. Mbaya zaidi ni jinsi watawala wa wakati ule walivyo-act baada ya tukio wakiongozwa na anayetajwa kuwa mgombea mtarajiwa wa urais kupitia CHADEMA Mr Ndugai. Tunamshukuru sana Mama Samia kwa kujaribu kutibu majeraha yaliyosababishwa na awamu ya 5.
 
Humjataja aliekufa
 
Boss nimekusoma,nachelea kusema kufa sio adhabu,,,ikiwa umesema kifo ni nature...kwenye nature nikwambie tu hakuna adhabu,HAKUNA. Adhabu ni mambo ya akili

Kifo si adhabu kwako
Kisheria kifo ni adhabu, yapo makosa ukifanya adhabu yake ni kifo.
Kiimani kifo ni adhabu

Endeleeni kujifariji

Nature kifo ni asili
 
kwani bashite kafa? Lisu anasema bashite ndio alipanga ile issue ya kishetani.
 
Kisheria kufa ni adhabu kubwa na ya juu kuliko zote.
Kiimani kufa ni laana.
Jeshini kifo ni adhabu ya wasaliti.
Kitaifa kifo ni adhabu ya wahaini

Nature kifo ni asili.

Sasa wewe endelea kujidanganya
 
Na wewe ukifa kuna watu watasema mabaya yako ujue hata kama ulikula kwa jirani kilafi
Kuwa uyaone kijana
Dunia hii watu wanaropoka na kupanga kana kwamba ni wasaidizi wa mtoa roho
Kumbe ni viumbe kama sisimizi tu
 
Kwanini wewe hutakufa?
 
Unasoma biblia gani? Petro hakuwatabilia kifo wale mtu na mkewe walioiba sadaka? Musa hakutabili vifo vya uzao wa kwanza kila familia?
 
Boss wao yuko kaburini Chato badala ya ikulu
 
Lile adui kubwa lilipo kufa dunia ilipumua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…