Mwaka 2019 unaisha tiririka mafanikio yako ya kufanya Forex

Mwaka 2019 unaisha tiririka mafanikio yako ya kufanya Forex

scatter

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
1,667
Reaction score
926
Wakuu biashara ya Forex kwa Tanzania imeshamiri sana kwa kipindi cha miaka miwili au mitatu iliyopita. Wengi wameingia katika biashara hii lakini baadhi waliamua kuendelea nayo na wengine wameamua kuachana nayo.

Kwa mwaka huu baada ya kufanya biashara hii nimefanikiwa kupata pesa na kuwekeza katika ujenzi pamoja na biashara ya kufuga kuku wa kienyeji.

Wadau naomba tushare mafanikio yetu baada ya kufanya forex ili iwe motisha kwa mwaka unaokuja tujue tunakosea wapi na tusimame vipi katika biashara hii.
 
Unaushauri gani kwa ambao hawaijui biashara hii?
Una nini cha kuaminisha kuwa umefanikiwa kupitia forex..?
 
Unaushauli gani kwa ambao hawaijui biashara hii..?
Una nini cha kuaminisha kuwa umefanikiwa kupitia forex..?

Ushauri wangu ni kwamba kujifunza kitu kipya sio dhambi katika ulimwengu huu wa tecknolojia. Mafanikio yangu kupitia forex nimeweza kuwekeza katika ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu ya kisasa

Pia nimejenga mabanda mawili ya kufugia kuku wa kienyeji na mradi umeanza ingawa bado hauja komaa
FOREX IS A REAL MONEY
 
Ushauri wangu ni kwamba kujifunza kitu kipya sio dhambi katika ulimwengu huu wa tecknolojia. Mafanikio yangu kupitia forex nimeweza kuwekeza katika ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu ya kisasa

Pia nimejenga mabanda mawili ya kufugia kuku wa kienyeji na mradi umeanza ingawa bado hauja komaa
FOREX IS A REAL MONEY

Swali la pili hujajibu neno kuaminisha ulichojibu ni maelezo ambayo mtu anaweza kuamini tu ila hayawezi kuaminisha!!
 
IMG_1852.JPG
nimepiga utalii kule Phucket Thailand 10 days,mkononi nina balance ya $7,000 hizi wacha nikamalizie Kigali Rwanda kwa kusaidia wasiojiweza na mambo mengine Mwakani tutaendelea nimefunga biashara J5 iliopita mpaka mwakani tena nitaendelea [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]


Blackberry
 
View attachment 1289859 nimepiga utalii kule Phucket Thailand 10 days,mkononi nina balance ya $7,000 hizi wacha nikamalizie Kigali Rwanda kwa kusaidia wasiojiweza na mambo mengine Mwakani tutaendelea nimefunga biashara J5 iliopita mpaka mwakani tena nitaendelea [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]


Blackberry
hongera Sana!.....
 
View attachment 1289859 nimepiga utalii kule Phucket Thailand 10 days,mkononi nina balance ya $7,000 hizi wacha nikamalizie Kigali Rwanda kwa kusaidia wasiojiweza na mambo mengine Mwakani tutaendelea nimefunga biashara J5 iliopita mpaka mwakani tena nitaendelea [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]


Blackberry
naomba unifundishe fx
 
Yaani hapo nachooona kuna kuna mtu humu anataka aingizwe chaka FOREX IS NOT A REALY MONEY ,
Mnaopenda vya kunyonga mtanuongwa wanaijeria wajanja wajanja sana huyu ni kama chinga kaja kuleta habari za FOREX

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom