Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshapoteza 1Milion mwaka huuu huo huo upupu wa kuweka hela forex yaaani hakina mtu anayeweza kunidanganyaMkuu kwann unihukumu kwan sipo huko... hela zipo forex
Mbona ulianza vizuri ungekomaa sasa ,usingekata tamaaNimeshapoteza 1Milion mwaka huuu huo huo upupu wa kuweka hela forex yaaani hakina mtu anayeweza kunidanganya
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani huo ujinga wa kusingizia kusoma vitabu sijui mtaacha lini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Step zakutrade labda ulizikosea jenga urafiki wa kusona vitabu na ujue risk managment zipoje mkuu
Forex is a real money
Forex sio emotional za akili ina hitaji mbinu na kuzipata kwake lazima usomeYani huo ujinga wa kusingizia kusoma vitabu sijui mtaacha lini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba unifundishe fx
Forex sio emotional za akili ina hitaji mbinu na kuzipata kwake lazima usome
Watu wanapiga pesa mkuu amini mkuu
Deposity ya usd15
Nafanya scaping na long analysis trade
Mimi ndo naanza mwakani mungu akijalia nitaleta mrejesho🙏Wakuu biashara ya Forex kwa Tanzania imeshamiri sana kwa kipindi cha miaka miwili au mitatu iliyopita. Wengi wameingia katika biashara hii lakini baadhi waliamua kuendelea nayo na wengine wameamua kuachana nayo.
Kwa mwaka huu baada ya kufanya biashara hii nimefanikiwa kupata pesa na kuwekeza katika ujenzi pamoja na biashara ya kufuga kuku wa kienyeji.
Wadau naomba tushare mafanikio yetu baada ya kufanya forex ili iwe motisha kwa mwaka unaokuja tujue tunakosea wapi na tusimame vipi katika biashara hii.
Sure hapa kuna dalili ya mtu kupigwa pesaNinavyowajua Watanzania wengi, kukiwa na fursa hatushtuani, ukiona mtu anakuita ujue wewe ndio fursa.
Mimi ndo naanza mwakani mungu akijalia nitaleta mrejesho[emoji120]
1st quarter imeisha vipi?This time next year tufungue uzi mwingine kama huu ntakuja na ushuhuda mubasharaa kabisaa
Naamini Mungu ataendelea kutenda kwa tunaopenda kujishughulisha
Mhh bila bilaaa1st quarter imeisha vipi?
Happy EasterMhh bila bilaaa