RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
How much have you made?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How much have you made?
Thank you Zaddyy u too😘😘Happy Easter
Muongo huyo anataka ingiza wana chakaUnaushauri gani kwa ambao hawaijui biashara hii?
Una nini cha kuaminisha kuwa umefanikiwa kupitia forex..?
Where u atIt's Easter weekend
Home...watching covid 19 updates on CNNWhere u at
Oh Man the news been chockingHome...watching covid 19 updates on CNN
Natafuta usingizi. Nilifikiri upo viwanjaOh Man the news been chocking
Atleast i caught a good movie this evening to forget
Ahh na mamvua hayaNatafuta usingizi. Nilifikiri upo viwanja
Usingizi bado umepaa?.Natafuta usingizi. Nilifikiri upo viwanja
Huu Uzi wa Forex tunauharibu njoo PMUsingizi bado umepaa?.
Nasinziaaa mwenziooHuu Uzi wa Forex tunauharibu njoo PM
mtuelekeze mlianzaje mpaka mkatoboaKamwe sitaicha forex ng'oo. Biashara ambayo unaweza ingiza kuanzia million moja na kuendelea ndani ya masaa 24 ahd 72 (3 days) kama una mtaji wa kutosha na kama umefanya analysis nzuri pia (japo kupoteza pia kupo lakini ni wewe mwenyewe unapanga upotezi kiasi gani endapo mambo yakienda tofauti na matarajio).SIIACHI KAMWE!
Yani kitu hujui mtu anakwambia soma vitabu. Laiti kama ingekuwa kusoma kitabu pekee ndio kunamfanya mtu aijue forex bila real practice nadhani wasoma novel wote wangepewa vitabu vya forex wangekuwa mamilionea kwa sasa.Yani huo ujinga wa kusingizia kusoma vitabu sijui mtaacha lini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
tufundisheni na sisi basi mkuuKamwe sitaicha forex ng'oo. Biashara ambayo unaweza ingiza kuanzia million moja na kuendelea ndani ya masaa 24 ahd 72 (3 days) kama una mtaji wa kutosha na kama umefanya analysis nzuri pia (japo kupoteza pia kupo lakini ni wewe mwenyewe unapanga upotezi kiasi gani endapo mambo yakienda tofauti na matarajio).SIIACHI KAMWE!