Unaushauli gani kwa ambao hawaijui biashara hii..?
Una nini cha kuaminisha kuwa umefanikiwa kupitia forex..?
Ushauri wangu ni kwamba kujifunza kitu kipya sio dhambi katika ulimwengu huu wa tecknolojia. Mafanikio yangu kupitia forex nimeweza kuwekeza katika ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu ya kisasa
Pia nimejenga mabanda mawili ya kufugia kuku wa kienyeji na mradi umeanza ingawa bado hauja komaa
FOREX IS A REAL MONEY
hongera Sana!.....View attachment 1289859 nimepiga utalii kule Phucket Thailand 10 days,mkononi nina balance ya $7,000 hizi wacha nikamalizie Kigali Rwanda kwa kusaidia wasiojiweza na mambo mengine Mwakani tutaendelea nimefunga biashara J5 iliopita mpaka mwakani tena nitaendelea [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Blackberry
Unasema umeshiba hela mbona matajiri wenzako huwa hatuwaoni wakizishiba pesa
Acha kudanganya watu wewe. Wanaopiga pesa FX hawajigambi.Deposity ya usd15
Nafanya scaping na long analysis trade
naomba unifundishe fxView attachment 1289859 nimepiga utalii kule Phucket Thailand 10 days,mkononi nina balance ya $7,000 hizi wacha nikamalizie Kigali Rwanda kwa kusaidia wasiojiweza na mambo mengine Mwakani tutaendelea nimefunga biashara J5 iliopita mpaka mwakani tena nitaendelea [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Blackberry
Iiiiiujjoiijii6yiijhiukjijiijjhWewe hujafanikiwa na lolote unataka ingiza watu chaka hapa