Uchaguzi 2020 Mwaka 2020 Naenda na Rais Magufuli nani yuko pamoja nami

unaenda nae wap?
 
UNAENDA NAYE CHATOO?[emoji23][emoji23][emoji23].


SAFI SANA HE IS ONE TERM PRESDENT.[emoji23][emoji2][emoji2][emoji16].

hutaki unaacha [emoji38][emoji38]
Eti chato[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Sijawahi ona Rais anakaa miaka 5 tu..hapa hapa kwetu tz.
Huyu Ni Hadi 2025
 
Kunywa tu simu ufe leo
Sitaweza, sitathubutu, sitajaribu hata siku moja kumpigia kura mgombea yeyote kupitia CCM katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa Duniani.

SAUTI IMETOSHA!
 
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
[/QUOTE]- SHETANI
 
Eti chato[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Sijawahi ona Rais anakaa miaka 5 tu..hapa hapa kwetu tz.
Huyu Ni Hadi 2025
WATU WANAENDA KUMWAGA MBOGA 2020 HIVYO ! ENDELEA KUWAZA HIVYOπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unaenda na Mumeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…