Mwaka 2020 Tsh. 10,000 ilinunua Petroli lita 5.3, leo Oktoba unaondoka na Lita 3 tu za Mafuta kituoni

Mwaka 2020 Tsh. 10,000 ilinunua Petroli lita 5.3, leo Oktoba unaondoka na Lita 3 tu za Mafuta kituoni

View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
Mbowe na wahuni wengine wakadai jamaa ni dikteta.
 
Ukilalamika watakupa tu jibu jepesi; "sababu ya bei kupanda, iimetokana na vita ya Urusi na Ukraine!!"
Na anaetoa hilo jibu ukimwambia afafanue muingiliano wa kupanda bei na hizo nchi mbili hatokuwa na jibu lolote.

Kuna kipindi walimkaririsha mpaka bibi yao kujibu kuwa kupanda bei kwa kila kitu ni sababu ya vita vya Russia na Ukraine.

Wamefulululiza kushusha bei, tusubiri Dec watakapopandisha watafidia huku kushuka kote.
Haitokuwa ajabu wakapandisha hata Tsh 500 kwa mkupuo.
 
Kongole kwako mleta mada kwa kuongelea hili suala la ugumu wa maisha kwa lugha rahisi..labda WATANGANYIKA wataelewa na kuamka, maana upande wa pili kule nasikia bei ya mafuta wao walau

Cha kushangaza zaidi ,bei ya lita moja Tanganyika yenye Bahari/Bandari ni KUBWA kuliko nchi zisizo na Bandari...KAZI KWELI KWELI
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
Bibie yupo kazini.
 
Watakwambia mafuta yalipanda bei ilhali duniani kote yameshuka
 
Kongole kwako mleta mada kwa kuongelea hili suala la ugumu wa maisha kwa lugha rahisi..labda WATANGANYIKA wataelewa na kuamka, maana upande wa pili kule nasiki bei wao walau

Cha kushangaza zaidi Bei ya lita moja Tanganyika yenye Bahari/Bandari ni KUBWA kuliko nchi zisizo na Bandari...KAZI KWELI KWELI
Nchi zisizo na bahari kama zipi? Bei iko chini?
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
Watu wanaacha kutumia petroli, wapo kwenye Gas na Umeme, wewe bado umeng'ata tu?

Ng'atuka.
 
Back
Top Bottom