Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niambie mkuu. Karibu sana Singida tunasikilizia mvua ikate kabisa tupige harrow na kupanda dengu. Nina mlima wa ekari 32 natakiwa kuupandaOkwi Boban Sunzu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hatua ni taratibu. Hata hii hatua natafuta nguvu ya kupata eneo la kulima mpunga wa kumwagilia. Proposal ipo tayari nasubiri muda ufike. Nimejifunza kuwa na eneo la ukubwa wa kawaida lakini mavuno mengiMipango yote mizuri ila umesahau kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliziaji, kutegemea kilimo cha mvua hutakuwa na tofauti na vijana wanaoishi kwa kubet
Lile ghorofa nililipeleka kwa QS akaniambia 130m mpaka kukamilika. Yaani master na sebule tu ndio tufikishane 130m. Nimeacha!!Safi sana mkuu Mungu akusimamie upate mavuno yaliyo Bora ukamilishe lile ghorofa lako🙏 inshallah
Mimi nipo Singida. Ninalima dengu na kununua mpunga. Mdogo mdogoUko wapi mkuu tubadilishane uzoefu, mimi niko mbeya nimelima mpunga na mahindi ila ni mkulima mdogo ninajisogeza...
The higher the risk the higher the return, taking risk management into considerationYaani kuweka investment yote hio huku ukitegemea kilimo Cha mvua Ni betting ya hatari.
All the best.
Nawasalimu kwa jina la aliye juu wakulima wenzangu.
Nasimama hapa kutangaza rasmi kwamba 2023 nitafia shambani. Nimejiridha pasipo na shaka kwamba mali utaipata shambani.
Kwa hiyo 2022 nimeitumia vizuri kujiandaa na kutafuta mtaji. Nasema nitafia shambani nikijiamini kwa sababu ya maandalizi niliyofanya. Nimekuwa na zana zote muhimu za kilimo. Trekta 2 ndogo 2WD zipo tayari mguu sawa,moja ikiwa ya kulima vibarua ili mapato yake yanisaidie kuhudumia mashamba kwa ufanisi wa hali ya juu. Ile ya pili sasa itakuwa kwa ajili ya mashamba yangu tu. Tayari harrow na planter vimepatikana. Hakuna kupanda kienyeji. Ni kitaalamu tu.
Upande wa mashamba naona ni gharama sana kuyamiliki. Zimepatikana ekari 120 Singida changamoto shamba ni pori linahitaji kusafisha. Nimeziweka kiporo mwakani. Kwa hiyo mwaka huu nitakodi tu.
Kwa kuanzia nimekodi ekari 150 katika mikoa miwili tofauti. Ekari 100 zao moja ekari 50 zao lingine. Gharama za kukodi bado chini sana 40,000- 50,000. Tayari amepatikana bwana shamba ampaye nitaingia naye partnership ya mwaka mmoja kwa asilimia fulani ya mapato yote. Yeye kazi yake ni kusimamia tu kulingana na utaalamu wake. Mimi nitamuhudimia kila kitu.
Kingine nimechagua sana kutumia teknolojia. Ukiwa na hela kidogo mambo mengi yanarahisishwa na teknolojia. Kupalilia mashine zipo, kufukuza ndege mashine zipo, kupanda na kuweka mbolea zipo. Kupiga dawa nk.
Kinachobaki hapo ni kumuomba Mungu tu ashushe mvua nzuri kustawisha mazao. Mimi ni mzuri wa Risk Management, nimeona kulima mazao yanayistahili ukamu kama dengu, mtama na alizeti.
Kwa hiyo kwa upande wangu nimejitahidi na nitajitahidi sana tu, sehemu iliyobaki ni ya Baba wa Mbinguni. Wakati mvua inanyesha wewe unafurahi kupata maji ya kunywa, mimi nafurahi kuvuna maekari.
Huu ni uzi ni kwa ajili ya watu wanaoamini kufanikiwa wakimtanguliza Mungu huku wakifanya kazi. Sio wale wanamlilia Mungu bila kufanya kazi wakiamini kwenye miujiza ya bila kazi. Sio wale wakatisha tamaa kwao kila kitu kigumu.
Hatutajadili stori za kukatishana tamaa. Haimaanishi kwamba hakuna changamoto, basi tulete changamoto na mbinu za kutatua.
Kifupi 2023 tupunguze maneno meengi ayna ngonjera tufanye kazi.
Maji ya kuchimba yana ubaya gan mkuuVizuri mkuu. Nashauri katika ununuzi wa shamba. Nunua shamba ambalo maji yapo. Sio kwamba ya kuchimba. Yawepo. Kwa maana ya mto, bwawa au chanzo kingine.
Safi mkuu, nilikuepo huko mwaka juzi kwa niamba ya member 1 wa hapa jf nilikuwa nanunua alizeti.. mpakani na wilaya ya nchemba..Mimi nipo Singida. Ninalima dengu na kununua mpunga. Mdogo mdogo
Wewe ni Kaka yangu haswa, ngoja nikufuate PM huko tuyajenge kidogo. Mimi ni wa hapo NDAGO haya unayo ya sema nina ya jua kwa 80%Niambie mkuu. Karibu sana Singida tunasikilizia mvua ikate kabisa tupige harrow na kupanda dengu. Nina mlima wa ekari 32 natakiwa kuupanda
Nmepita itigi juzi Kati nkiwa kwenye basi nikitokea tabora nmejionea mashamba y kulima dengu udongo mweusi mwaweza mkanipa Bei y kununua kwa heka wadau?Wewe ni Kaka yangu haswa, ngoja nikufuate PM huko tuyajenge kidogo. Mimi ni wa hapo NDAGO haya unayo ya sema nina ya jua kwa 80%
una kariba ya kuropoka ropoka mambo yako mkuu jifunze kuwa kimya kidogo utanishukuru keshoNawasalimu kwa jina la aliye juu wakulima wenzangu.
Nasimama hapa kutangaza rasmi kwamba 2023 nitafia shambani. Nimejiridha pasipo na shaka kwamba mali utaipata shambani.
Kwa hiyo 2022 nimeitumia vizuri kujiandaa na kutafuta mtaji. Nasema nitafia shambani nikijiamini kwa sababu ya maandalizi niliyofanya. Nimekuwa na zana zote muhimu za kilimo. Trekta 2 ndogo 2WD zipo tayari mguu sawa,moja ikiwa ya kulima vibarua ili mapato yake yanisaidie kuhudumia mashamba kwa ufanisi wa hali ya juu. Ile ya pili sasa itakuwa kwa ajili ya mashamba yangu tu. Tayari harrow na planter vimepatikana. Hakuna kupanda kienyeji. Ni kitaalamu tu.
Upande wa mashamba naona ni gharama sana kuyamiliki. Zimepatikana ekari 120 Singida changamoto shamba ni pori linahitaji kusafisha. Nimeziweka kiporo mwakani. Kwa hiyo mwaka huu nitakodi tu.
Kwa kuanzia nimekodi ekari 150 katika mikoa miwili tofauti. Ekari 100 zao moja ekari 50 zao lingine. Gharama za kukodi bado chini sana 40,000- 50,000. Tayari amepatikana bwana shamba ampaye nitaingia naye partnership ya mwaka mmoja kwa asilimia fulani ya mapato yote. Yeye kazi yake ni kusimamia tu kulingana na utaalamu wake. Mimi nitamuhudimia kila kitu.
Kingine nimechagua sana kutumia teknolojia. Ukiwa na hela kidogo mambo mengi yanarahisishwa na teknolojia. Kupalilia mashine zipo, kufukuza ndege mashine zipo, kupanda na kuweka mbolea zipo. Kupiga dawa nk.
Kinachobaki hapo ni kumuomba Mungu tu ashushe mvua nzuri kustawisha mazao. Mimi ni mzuri wa Risk Management, nimeona kulima mazao yanayistahili ukamu kama dengu, mtama na alizeti.
Kwa hiyo kwa upande wangu nimejitahidi na nitajitahidi sana tu, sehemu iliyobaki ni ya Baba wa Mbinguni. Wakati mvua inanyesha wewe unafurahi kupata maji ya kunywa, mimi nafurahi kuvuna maekari.
Huu ni uzi ni kwa ajili ya watu wanaoamini kufanikiwa wakimtanguliza Mungu huku wakifanya kazi. Sio wale wanamlilia Mungu bila kufanya kazi wakiamini kwenye miujiza ya bila kazi. Sio wale wakatisha tamaa kwao kila kitu kigumu.
Hatutajadili stori za kukatishana tamaa. Haimaanishi kwamba hakuna changamoto, basi tulete changamoto na mbinu za kutatua.
Kifupi 2023 tupunguze maneno meengi na ngonjera tufanye kazi.
Amini atakusaidia.. Utafia shambani[emoji1787]Nawasalimu kwa jina la aliye juu wakulima wenzangu.
Nasimama hapa kutangaza rasmi kwamba 2023 nitafia shambani. Nimejiridha pasipo na shaka kwamba mali utaipata shambani.
Kwa hiyo 2022 nimeitumia vizuri kujiandaa na kutafuta mtaji. Nasema nitafia shambani nikijiamini kwa sababu ya maandalizi niliyofanya. Nimekuwa na zana zote muhimu za kilimo. Trekta 2 ndogo 2WD zipo tayari mguu sawa,moja ikiwa ya kulima vibarua ili mapato yake yanisaidie kuhudumia mashamba kwa ufanisi wa hali ya juu. Ile ya pili sasa itakuwa kwa ajili ya mashamba yangu tu. Tayari harrow na planter vimepatikana. Hakuna kupanda kienyeji. Ni kitaalamu tu.
Upande wa mashamba naona ni gharama sana kuyamiliki. Zimepatikana ekari 120 Singida changamoto shamba ni pori linahitaji kusafisha. Nimeziweka kiporo mwakani. Kwa hiyo mwaka huu nitakodi tu.
Kwa kuanzia nimekodi ekari 150 katika mikoa miwili tofauti. Ekari 100 zao moja ekari 50 zao lingine. Gharama za kukodi bado chini sana 40,000- 50,000. Tayari amepatikana bwana shamba ampaye nitaingia naye partnership ya mwaka mmoja kwa asilimia fulani ya mapato yote. Yeye kazi yake ni kusimamia tu kulingana na utaalamu wake. Mimi nitamuhudimia kila kitu.
Kingine nimechagua sana kutumia teknolojia. Ukiwa na hela kidogo mambo mengi yanarahisishwa na teknolojia. Kupalilia mashine zipo, kufukuza ndege mashine zipo, kupanda na kuweka mbolea zipo. Kupiga dawa nk.
Kinachobaki hapo ni kumuomba Mungu tu ashushe mvua nzuri kustawisha mazao. Mimi ni mzuri wa Risk Management, nimeona kulima mazao yanayistahili ukamu kama dengu, mtama na alizeti.
Kwa hiyo kwa upande wangu nimejitahidi na nitajitahidi sana tu, sehemu iliyobaki ni ya Baba wa Mbinguni. Wakati mvua inanyesha wewe unafurahi kupata maji ya kunywa, mimi nafurahi kuvuna maekari.
Huu ni uzi ni kwa ajili ya watu wanaoamini kufanikiwa wakimtanguliza Mungu huku wakifanya kazi. Sio wale wanamlilia Mungu bila kufanya kazi wakiamini kwenye miujiza ya bila kazi. Sio wale wakatisha tamaa kwao kila kitu kigumu.
Hatutajadili stori za kukatishana tamaa. Haimaanishi kwamba hakuna changamoto, basi tulete changamoto na mbinu za kutatua.
Kifupi 2023 tupunguze maneno meengi na ngonjera tufanye kazi.
Nikajua utafia kwenye mikutano ya kina Mbowe na Lisu 😁😁Nawasalimu kwa jina la aliye juu wakulima wenzangu.
Nasimama hapa kutangaza rasmi kwamba 2023 nitafia shambani. Nimejiridha pasipo na shaka kwamba mali utaipata shambani.
Kwa hiyo 2022 nimeitumia vizuri kujiandaa na kutafuta mtaji. Nasema nitafia shambani nikijiamini kwa sababu ya maandalizi niliyofanya. Nimekuwa na zana zote muhimu za kilimo. Trekta 2 ndogo 2WD zipo tayari mguu sawa,moja ikiwa ya kulima vibarua ili mapato yake yanisaidie kuhudumia mashamba kwa ufanisi wa hali ya juu. Ile ya pili sasa itakuwa kwa ajili ya mashamba yangu tu. Tayari harrow na planter vimepatikana. Hakuna kupanda kienyeji. Ni kitaalamu tu.
Upande wa mashamba naona ni gharama sana kuyamiliki. Zimepatikana ekari 120 Singida changamoto shamba ni pori linahitaji kusafisha. Nimeziweka kiporo mwakani. Kwa hiyo mwaka huu nitakodi tu.
Kwa kuanzia nimekodi ekari 150 katika mikoa miwili tofauti. Ekari 100 zao moja ekari 50 zao lingine. Gharama za kukodi bado chini sana 40,000- 50,000. Tayari amepatikana bwana shamba ampaye nitaingia naye partnership ya mwaka mmoja kwa asilimia fulani ya mapato yote. Yeye kazi yake ni kusimamia tu kulingana na utaalamu wake. Mimi nitamuhudimia kila kitu.
Kingine nimechagua sana kutumia teknolojia. Ukiwa na hela kidogo mambo mengi yanarahisishwa na teknolojia. Kupalilia mashine zipo, kufukuza ndege mashine zipo, kupanda na kuweka mbolea zipo. Kupiga dawa nk.
Kinachobaki hapo ni kumuomba Mungu tu ashushe mvua nzuri kustawisha mazao. Mimi ni mzuri wa Risk Management, nimeona kulima mazao yanayistahili ukamu kama dengu, mtama na alizeti.
Kwa hiyo kwa upande wangu nimejitahidi na nitajitahidi sana tu, sehemu iliyobaki ni ya Baba wa Mbinguni. Wakati mvua inanyesha wewe unafurahi kupata maji ya kunywa, mimi nafurahi kuvuna maekari.
Huu ni uzi ni kwa ajili ya watu wanaoamini kufanikiwa wakimtanguliza Mungu huku wakifanya kazi. Sio wale wanamlilia Mungu bila kufanya kazi wakiamini kwenye miujiza ya bila kazi. Sio wale wakatisha tamaa kwao kila kitu kigumu.
Hatutajadili stori za kukatishana tamaa. Haimaanishi kwamba hakuna changamoto, basi tulete changamoto na mbinu za kutatua.
Kifupi 2023 tupunguze maneno meengi na ngonjera tufanye kazi.
As from the end of this year nitapunguza matumizi ya mda wangu kwenye mitandao na badala yake Nita dedicate zaidi shambani(kufunga na kulima) na mwingine ibadani na kupumzika.Kwa kweli nimeamua kupunguza matumizi ya muda kwa mambo yasiyo na tija. Muda niliouokoa nitatumia kwenye ibada
Sifa ya Kilimo ni kama biashara zingine,atakaevumilia mpaka mwisho ndio Huwa mahindi.Shambani usiende kwa hisia, mwaka 2022 mimi nashukuru serikali haikupiga marufuku kuuza nje ya nchi ndio angalau nimerudisha gharama kwasababu mahindi yalikaukia shambani, nilitarajia kuvuna gunia 200 lakini nikaishia gunia 70. Nimewauzia wakenya.
Maharage nilitaka yavunwe gunia 80 lakini nimeishia kwenye 30 kwasababu kuna mvua kidogo ilileta wadudu halafu ikakata hivyo maharage karibu heka 15 yakaliwa. Mengi nilipata deal la watu wa mbegu nikawauzia. Alizeti angalau ilivumilia ukame na zipo gunia 120 nakaribia kuzikamua niuze.
Shamba ni sehemu ambayo unaweza pata hela nyingi Kwa pamoja na kwenda kuwekeza huko kwingine kama back up ya Kilimo.Kama mali zinapatikana shambani waarabu wasingekuja iba twiga
Kama mali zainapatikana shambani wazungu wasingeijia madini
Kama mali zinapatikana shambani wahindi koko wasinge miliki maduka
Kama mali zinapatikana shambani wangetoa mikopo ya wakulima ila wanatoa ya wafanyabiashara wadogo wadogo
Kama mali inapatikana shambani kusingekua na njaa nchini, kila mtu angelima
Nakushauri Kilimo cha mvua hutapata mali shambani utapata presha.
Chimba kisima au weka miundombinu ya uvunaji majiNakuelewa vizuri sana mkuu. Kwa kweli ukipata shamba lenye maji hata eka 5 tu unatoboa pakubwa
Naomba ni pm mkuuUko wapi mkuu tubadilishane uzoefu, mimi niko mbeya nimelima mpunga na mahindi ila ni mkulima mdogo ninajisogeza...