Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.

Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?

TUJADILI KWA HAKI!!
Yaani watu kusema wajawazito wanajifungulia chini, hakuna madawa hospitalini inakuwa hujuma. Ndugu hebu mkatibiwe hosp za Serikali huko muone. Mkitibiwa private huko mnahisi hakuna shida. Hizo hoja zinajibiwa kisiasa tu.
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.

Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?

TUJADILI KWA HAKI!!
Soma bro ata mwongozo wa mpya wa NHIF utaelewa kuwa sio msimamizi mzuri wa WIZARA,wanufaika wa bima wataumia sana japo wanachangia pakubwa,bias Kwa watoa huduma wanatengwa wa serikali kuu na serikali za mitaa japo kiwango Cha elimu Kiko sawa,siasa za matibabu kule Kwa wajawazito na wazee japo hazitekelezeki,vituo vya afya vingi visivyo na watoa huduma,,tuachie hapo kiujumla ni msanii
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.

Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?

TUJADILI KWA HAKI!!
Tatizo alikuwa na kiburi pamoja na kutaarifiwa baadhi ya matatizo na wananchi wenye nia njema yeye ama anakaa kimya au anafanya mashambulizi ya maneno yakionesha taarifa alizopewa ni za uongo.

Kiburi huwa kina mwisho wake. Angeiga mtindo wa waziri wa jinsia, watoto na makundi maalum oangepeta sana lakini kutokana na namna walivyokuwa wanadhani wanatoka jamii ya Tanga asingepata ajali ya kisiasa. Kwanza Tanga mjini hawamtaki kabisa ni bora angerudi tu alipokuwa mwanzo kule Korogwe maana huko ndiko alikoibuliwa na JPM hadi kuwa waziri.
 
Tatizo alikuwa na kiburi pamoja na kutaarifiwa baadhi ya matatizo na wananchi wenye nia njema yeye ama anakaa kimya au anafanya mashambulizi ya maneno yakionesha taarifa alizopewa ni za uongo.

Kiburi huwa kina mwisho wake. Angeiga mtindo wa waziri wa jinsia, watoto na makundi maalum oangepeta sana lakini kutokana na namna walivyokuwa wanadhani wanatoka jamii ya Tanga asingepata ajali ya kisiasa. Kwanza Tanga mjini hawamtaki kabisa ni bora angerudi tu alipokuwa mwanzo kule Korogwe maana huko ndiko alikoibuliwa na JPM hadi kuwa waziri.
Tanga Mjini hawamtaki kwanini ?
 
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?

Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.

Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?

TUJADILI KWA HAKI!!
Vipi kuhusu ufisadi na kifeli kwa NHIF ni uongo au ukweli?
 
Back
Top Bottom