Tatizo alikuwa na kiburi pamoja na kutaarifiwa baadhi ya matatizo na wananchi wenye nia njema yeye ama anakaa kimya au anafanya mashambulizi ya maneno yakionesha taarifa alizopewa ni za uongo.
Kiburi huwa kina mwisho wake. Angeiga mtindo wa waziri wa jinsia, watoto na makundi maalum oangepeta sana lakini kutokana na namna walivyokuwa wanadhani wanatoka jamii ya Tanga asingepata ajali ya kisiasa. Kwanza Tanga mjini hawamtaki kabisa ni bora angerudi tu alipokuwa mwanzo kule Korogwe maana huko ndiko alikoibuliwa na JPM hadi kuwa waziri.