Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
-
- #21
Huwa Sina Shaka na Maandiko yako Mkuu !! Umekuwepo Kwa muda mrefu, kiasi kwamba wewe sana unatabiri ,huandiki tu.Kalosi, rekebisha heading yako, ugombea wa Samia 2025 sio wa kulazimisha!, ni ugombea wa mserereko as deserving kwa mujibu wa taratibu za CCM, hivyo kusema endapo atalaziisha, sio kumtendea haki, anayelazimisha ni yule undeserving anae force!.
Ila hili la Samia kugombea 2025, sauti tayari zipo Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
P
Sizani kama unaandika ya moyoni hapa. Unaandika siasa na propaganda tu.Dk SSH atapita Tena kwa Asilimia Kama zote..
Mwaka 2020 halikuwa na uchaguzi Bali upuuzi wa Jiwe.
Samia hajawahi waogopa Wapinzani kwanza anapenda ukosoaji na sio imwinyi wa yule failure wenu.
Unda chama chako cha upinzaniWapimzani wamgekuwa watu wa kueleweka tungewapa nchi tuwatoe hao mNyAngau huko ikulu
Kwa Nini niandike kwa propaganda? Wewe una Shaka gani ndugu?Sizani kama unaandika ya moyoni hapa. Unaandika siasa na propaganda tu.
imagine....Na hivyo vingi Wala haviwezi zidi CCM ,wataishia kutoka Nje na kutokwa na mapovu nothing else
2025 Samia atapata wakati mgumu sana haijawahi tokea kwenye uchaguzi wowote. Hata akishinda lakini atakuwa hana hamu na watanzania. CCM waangalie namna ya kumpumisha ... Wanawake wenzie ndio hawamuelewi kabisa .Kwa Nini niandike kwa propaganda? Wewe una Shaka gani ndugu?
Kushinda sio lazima ashinde kwa 80% na kuendelea,atashinda hata kwa 55% Kama ambavyo Mkapa akishinda kwa Mrema..2025 Samia atapata wakati mgumu sana haijawahi tokea kwenye uchaguzi wowote. Hata akishinda lakini atakuwa hana hamu na watanzania. CCM waangalie namna ya kumpumisha ... Wanawake wenzie ndio hawamuelewi kabisa .
Namba ya cm hajaweka hebu mshitueNjaaa mbaya sana.
Ground wapi, nyumbani kwako? Acha upoyoyo na uzushi tafuta kazi ya kufanyaHuku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Democrasia ya wanywa juisi?Nasikitika sana. Yaani bado kuna wajinga ambao bado wanaamini falsafa za kijinga/kipumbafu za JPM?
Lile ilikuwa laana Kwa taifa.
JK wakati anaondoka aliacha some how kulikuwa na democrasia lkn baada ya kumpa kijiti yule taifa liliingia giza.
Tushukuru COVID 19
Endelea kusikitika hadi ufe!Nasikitika sana. Yaani bado kuna wajinga ambao bado wanaamini falsafa za kijinga/kipumbafu za JPM?
Lile ilikuwa laana Kwa taifa.
JK wakati anaondoka aliacha some how kulikuwa na democrasia lkn baada ya kumpa kijiti yule taifa liliingia giza.
Tushukuru COVID 19
Leo CCM , Upinzani na wasio na vyama tunaongea lugha moja.Endelea kusikitika hadi ufe!
Democrasia ya nyoko? Unakula hiyo democrasia?
Unga 2000
Maharage 4000
Mchele 4000
Mafuta ndio kama hivyo!
Hiyo democrasia yako inakusaidia nini?
Mavi kweli.
Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Hizi ni porojo na uongo mtupu!Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Unajidanganya!2025 Samia atapata wakati mgumu sana haijawahi tokea kwenye uchaguzi wowote. Hata akishinda lakini atakuwa hana hamu na watanzania. CCM waangalie namna ya kumpumisha ... Wanawake wenzie ndio hawamuelewi kabisa .