Site gani hiyo?Unajidanganya!
Na chuki zako kwa Rais Samia zitakuua.
Watanzania huku site wanamuelewa sana Mama.
Hilo genge lenu na propaganda zenu mshindwe na mlegee.
Kwa tume ipi ya Uchaguzi? CHADEMA mnasahau haraka mnoo. Basi mkubali pia 2020 mlishindwa kihalaliUsimuamshe aliyelala , waache waweke galasa
Labda umoja part ila ivi vingine du asali inshauwaHuku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
2025 Samia atapata wakati mgumu sana haijawahi tokea kwenye uchaguzi wowote. Hata akishinda lakini atakuwa hana hamu na watanzania. CCM waangalie namna ya kumpumisha ... Wanawake wenzie ndio hawamuelewi kabisa .
Nenda zako wewe uliye kata tamaa. Watu wameshaamka.Hakuna kiongozi wa CCM anategemea kura, usitake kutishia kitu ambacho hakipo. Hata uchaguzi wa 2020 Magufuli hakushinda kama inavyotangazwa. Isitoshe hakuna mtu anajitambua atakuwa na muda wa kushiriki huo uchaguzi wa kishenzi kwa katiba na tume hii ya uchaguzi. Sasa huo ugumu utatoka wapi?
Labda umoja part ila ivi vingine du asali inshauwa
Mbona wewe ni mdogo hivyo? Huu upumbavu umejifunza lini?Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Nenda zako wewe uliye kata tamaa. Watu wameshaamka.
Una haki ya kuandika huo upimbi wako, unadhani kama tutapata katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi mtaambulia hata viti 20 nchi nzima??? ThubutuuuuuBila Shaka upo usingizini,kwa Taarifa yako Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani anakubalika na kupendwa Sana na watanzania kutokana na kazi kubwa na ya kutukuka aliyoifanya katika kuwatumikia watanzania wanyonge wasio na sauti katika kuijenga nchi yetu,mh Rais wetu amegusa na kuweka mikono yake katika kila eneo, amefanya uwekezaji wa mabillioni ya pesa za kitanzania kuhakikishia kuwa huduma muhimu zinasogezwa karibu ya mtanzania. Kila eneo utakapokwenda unakuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia,Kwa hakika Rais wetu Hana wa kushindana Naye Wala kushindanishwa naye
Nikikusoma kwa makini naona una contradictory statement. Wewe unawakilisha watu wasioridhika na utawala wa Rais Samia kutokana na vigezo vyako.Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Hata Magufuli alikuwa na PhD feki. Njoo na hoja nyingine. Kuwa na cheti feki hata kama angekuwa nacho hakumnyimi haki ya kukosoa maamuzi mabovu ya MagufuliWewe kama hawajakutuma utakua cheti feki au mtumbuliwa. Cheki feki ndio walokua wanaongoza kumchukia jpm. Sababu kubwa akili yao ndogo halafu vyeti feki na maslahi yasiyokua halali ikawapa kudhani wana akili kumbe bado wajinga.
Pointi zako hata kuzipinga moja baada ya nyingine ni taabu maana ni uongo na ujinga mtupu.
Ovyo kabisa.Lukasiiiii!
Katika ubora wako
[emoji23]
Kama upinzani wakinyakua viti vingi Bungeni, itakuwa ni faraja kwa Rais Samia.Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Kwani Nyangumi aliiba kura ?Samia atashinda kwa kishindo tena bila kuiba kura kama yule nyangumi
Kwa nini alizima mitandao?Kwani Nyangumi aliiba kura ?
Ngoja tuoneBila Shaka upo usingizini,kwa Taarifa yako Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani anakubalika na kupendwa Sana na watanzania kutokana na kazi kubwa na ya kutukuka aliyoifanya katika kuwatumikia watanzania wanyonge wasio na sauti katika kuijenga nchi yetu,mh Rais wetu amegusa na kuweka mikono yake katika kila eneo, amefanya uwekezaji wa mabillioni ya pesa za kitanzania kuhakikishia kuwa huduma muhimu zinasogezwa karibu ya mtanzania. Kila eneo utakapokwenda unakuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia,Kwa hakika Rais wetu Hana wa kushindana Naye Wala kushindanishwa naye