Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
1.Ukitaka kufanikiwa katika jambo lolote jitihada ni jambo la muhimu...
2.Mungu ni mwema jana,Leo na hata kesho tumtumaini katika kila jambo
3.Ukijenga dhana ya kufanya mambo kwa budget unatoboa
4.Tumia akili katika swala la mahusiano na siyo hisia
2.Mungu ni mwema jana,Leo na hata kesho tumtumaini katika kila jambo
3.Ukijenga dhana ya kufanya mambo kwa budget unatoboa
4.Tumia akili katika swala la mahusiano na siyo hisia