Mwaka huu 2023 umekupa funzo gani kubwa katika maisha yako?

Mwaka huu 2023 umekupa funzo gani kubwa katika maisha yako?

Wakuu,

Mwaka 2023 unakaribia kuisha, tumekutana na mambo mengi, ya kufunza, kukatisha tamaa, kutusogeza mbele ama kuturudisha nyuma, kutupa nguvu na kutufurahisha pia.

Katika mambo yote uliyokutana nayo, ni kipi kimekugusa sana kwa namna moja ama nyingine na kukufunza jambo?
Huu mwaka umenifunza kuwa.
1. Sio kila mwenye mvi / mtu mzima ana busara hivyo sio kila mtu mzima ni wa kuheshimiwa

2. Usimwamini mtu / ishi kwa machale

3. Pesa ni kama maji tu unaihitaji kwenye kila jambo.

4. Chaputa sio mbaya sana ila ngono halisi ni bora zaidi.

5. Usikubali kuonewa / kudharauliwa na mtu yeyote iwe kakuzidi hela au nguvu in short usiwe mnyonge.

6. Kuliko kufanya kitu nusu nusu ni bora usikifanye kabisa.

7. Never re friend a past enemy who was your friend.

8. Kuna umri ukifika usipoweza kujitegemea utaonekana kama mchawi tu hii nimeiona kabisa.

9. Kama huna value usitegemee kupata chochote chenye maana inshort. Hamna cha bure. Respect is EARNED.

10. nimejifunza kuwa marafiki wana impact sana kwenye tabia na maisha yetu iwe chanya au hasi ndio maana kuna msemo usemao "ndege wafananao huruka pamoja".
A. Ukitaka kuwa masikini kuwa na marafiki masikini
B. Ukitaka kuwa tajiri kuwa na marafiki matajiri.

Kimbembe nikuwa rafiki wa tajiri. 😃😃😃.

11. Muda mwingine drama ni tamu 😁😅😅.

Yangu ni hayo tu
 
DON'T LET NEGATIVE WORLD TAKE PART IN YOUR MIND , IT WILL DESTROY EVEN INNER SELF ASEEEEEEE😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖😖 TO A POSITION WHERE YOU CANNOT EVEN/ INCAPABLE OF DOING ANYTHING EVEN COOKING YOUR FOOD!!
 
Huu mwaka umenifunza kuwa.
1. Sio kila mwenye mvi / mtu mzima ana busara hivyo sio kila mtu mzima ni wa kuheshimiwa

2. Usimwamini mtu / ishi kwa machale

3. Pesa ni kama maji tu unaihitaji kwenye kila jambo.

4. Chaputa sio mbaya sana ila ngono halisi ni bora zaidi.

5. Usikubali kuonewa / kudharauliwa na mtu yeyote iwe kakuzidi hela au nguvu in short usiwe mnyonge.

6. Kuliko kufanya kitu nusu nusu ni bora usikifanye kabisa.

7. Never re friend a past enemy who was your friend.

8. Kuna umri ukifika usipoweza kujitegemea utaonekana kama mchawi tu hii nimeiona kabisa.

9. Kama huna value usitegemee kupata chochote chenye maana inshort. Hamna cha bure. Respect is EARNED.

10. nimejifunza kuwa marafiki wana impact sana kwenye tabia na maisha yetu iwe chanya au hasi ndio maana kuna msemo usemao "ndege wafananao huruka pamoja".
A. Ukitaka kuwa masikini kuwa na marafiki masikini
B. Ukitaka kuwa tajiri kuwa na marafiki matajiri.

Kimbembe nikuwa rafiki wa tajiri. 😃😃😃.

11. Muda mwingine drama ni tamu 😁😅😅.

Yangu ni hayo tu
Weee kweli ni penseli iliyopota class ikachongwa vilivyo
 
Wakuu,

Mwaka 2023 unakaribia kuisha, tumekutana na mambo mengi, ya kufunza, kukatisha tamaa, kutusogeza mbele ama kuturudisha nyuma, kutupa nguvu na kutufurahisha pia.

Katika mambo yote uliyokutana nayo, ni kipi kimekugusa sana kwa namna moja ama nyingine na kukufunza jambo?
Kwa upande wangu nitalijua funzo 31.12.23
 
Wakuu,

Mwaka 2023 unakaribia kuisha, tumekutana na mambo mengi, ya kufunza, kukatisha tamaa, kutusogeza mbele ama kuturudisha nyuma, kutupa nguvu na kutufurahisha pia.

Katika mambo yote uliyokutana nayo, ni kipi kimekugusa sana kwa namna moja ama nyingine na kukufunza jambo?
Nimejifunza mtu yeyote anaekufanyia dhuluma usimuache hai sana sana maafisa wa TRA akikukosea jishushe kisha mpige kipapai cha fasta akidhani umenywea na kulegea wanazika unaendelea na maisha kiroho safi
 
Wakuu,

Mwaka 2023 unakaribia kuisha, tumekutana na mambo mengi, ya kufunza, kukatisha tamaa, kutusogeza mbele ama kuturudisha nyuma, kutupa nguvu na kutufurahisha pia.

Katika mambo yote uliyokutana nayo, ni kipi kimekugusa sana kwa namna moja ama nyingine na kukufunza jambo?
Kuna mambo kadhaa, ila mojawapo ni kwamba mapenzi ya kweli huwa hayafi. Kuwa mtulivu kila litokeapo gharika la mapenzi na utafika wakati kilicho chako kitarudi kwako.

Kingine, kuwa mwema hata kama una nguvu ya kufanya ubaya kwa kulipa kisasi ama kuadhibu wale waliokukosea, kwani kuna wakati wa mambo kutulia hutaweza kutazama uliowafanyia ubaya.

Pia, kuwa na kiasi wakati wa kufurahi na kukasirika kwani maisha huwa hayana wakati unaodumu. Mambo hubadilika na kukutoa ulipo kisha kukupeleka kwingine.

Ova
 
Kuna mambo kadhaa, ila mojawapo ni kwamba mapenzi ya kweli huwa hayafi. Kuwa mtulivu kila litokeapo gharika la mapenzi na utafika wakati kilicho chako kitarudi kwako.

Kingine, kuwa mwema hata kama una nguvu ya kufanya ubaya kwa kulipa kisasi ama kuadhibu wale waliokukosea, kwani kuna wakati wa mambo kutulia hutaweza kutazama uliowafanyia ubaya.

Pia, kuwa na kiasi wakati wa kufurahi na kukasirika kwani maisha huwa hayana wakati unaodumu. Mambo hubadilika na kukutoa ulipo kisha kukupeleka kwingine.

Ova
Ah jamaniiiiiiii! Vibaya hivi, mimi unategemea nifanye nini sasa?
 
Back
Top Bottom