Hakika!!Mimi nimejifunza uvumilivu, kukabiliana na failures, dhihaka na kunyanyuka tena na kuanza upya.
Nimeamin katika kufanya kitu kidogo katika ubora mkubwa pale napokosa mafasi ya kufanya vitu vikubwa.
Nimeimarika katika kupenda kwa Akili na kujali familia kuliko kingine chochote.
“Siasa na Dini ni Biashara za watu, Tutafute hela tu"