Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Nimejifunza kuwa ukijiwekea matarajio makubwa na usipoyatimiza, huenda yakakuletea shida ya afya ya akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nashukuruUsikate Tamaa, usichoke kutafuta, Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake kwako na wala hachelewi....
Msuhukuru Mungu kwa kibali na zawadi ya Uhai na Afya alokujalia, Mara zote mtumainie yeye tu.
Nakuombea Roho Mtakatifu ahuishe na kufungua maskio ya kiroho moyoni mwako ili uwe tayari kuskia sauti ya wito wa Mungu katika maisha yako.
Bwana na akutendee muujiza wako kabla ya mwaka ujao kwisha.
Amen
Barikiwa sana Mtu wa Mungu..Mkuu nashukuru
Umekua kiroho? Na Sadaka utaendelea kupeleka wakale?Mwaka ambao nimekua kiroho...
Mwaka ambao nimebadilishwa na kuwa mpya kiroho...
Mwaka ambao nimepata kibali kwa watu mbalimbali...
Asante Yesu kwa mwaka huu
Mh? Umetendwa? Ebu tufungukie atiii!Huu mwaka nimejifunza mengi,kikubwa do not trust anybody hata akiwa mtu wa karibu yako.Nalia ndani kwa ndani.Hakika nimetendwa haswa na mtu wa karibu haswa
Heri Yako mkuu...Mwaka ambao nimekua kiroho...
Mwaka ambao nimebadilishwa na kuwa mpya kiroho...
Mwaka ambao nimepata kibali kwa watu mbalimbali...
Asante Yesu kwa mwaka huu
Kiufupi haina kufelii [emoji3578][emoji3578]Sina majuto yoyote ila ni mafunzo tu nimepata pale mambo yalipoenda tofauti.....nimejifunza nasimama tena naendelea mbele kwa usahihi.
Sina majuto wala sitii huruma.
Wakuu,
Mwaka 2023 unakaribia kuisha, tumekutana na mambo mengi, ya kufunza, kukatisha tamaa, kutusogeza mbele ama kuturudisha nyuma, kutupa nguvu na kutufurahisha pia.
Katika mambo yote uliyokutana nayo, ni kipi kimekugusa sana kwa namna moja ama nyingine na kukufunza jambo?
We jamaa acha tabia mbaya. Hutatoboa[emoji1787]Jambo la maana nililolifanya nikuacha Tungi na baada ya kuacha Tungi nikagundua nilikuwa napoteza Hela nyingi Kwenye mbususu maana Tungi na mbususu n mate na ulimiii [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu picha haifunguki
Mkuu nshaachaa kiukwel Tungi [emoji120]We jamaa acha tabia mbaya. Hutatoboa[emoji1787]
Tungi piga lakini usiharibu mkuuMkuu nshaachaa kiukwel Tungi [emoji120]