Mwaka huu 2023 umekupa funzo gani kubwa katika maisha yako?

Mwaka huu 2023 umekupa funzo gani kubwa katika maisha yako?

Wakuu

Najua tuna mambo mengi yanayotusibu kwenye harakati za kila siku kutafuta mkate.

Leo ikiwa ni tarehe 13 December kuna kitu/vitu ulitamani kufanikisha lakini unaona vimeshindikana au hujafikia matarajio tupeane uzoefu.

Naamini tuna mengi ya kujifunza as long as bado tunaendelea kupambana
Usikate Tamaa, usichoke kutafuta, Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake kwako na wala hachelewi....

Msuhukuru Mungu kwa kibali na zawadi ya Uhai na Afya alokujalia, Mara zote mtumainie yeye tu.

Nakuombea Roho Mtakatifu ahuishe na kufungua maskio ya kiroho moyoni mwako ili uwe tayari kuskia sauti ya wito wa Mungu katika maisha yako.

Bwana na akutendee muujiza wako kabla ya mwaka ujao kwisha.
Amen
 
Wakuu

Najua tuna mambo mengi yanayotusibu kwenye harakati za kila siku kutafuta mkate.

Leo ikiwa ni tarehe 13 December kuna kitu/vitu ulitamani kufanikisha lakini unaona vimeshindikana au hujafikia matarajio tupeane uzoefu.

Naamini tuna mengi ya kujifunza as long as bado tunaendelea kupambana
tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo
 
Kufanya jambo alafu ukaja kujutia baadae linaumiza sana

2023
Nimejifunza kuepuka kufanya jambo ambalo litanifanya nijute
 
Wakuu,

Mwaka 2023 unakaribia kuisha, tumekutana na mambo mengi, ya kufunza, kukatisha tamaa, kutusogeza mbele ama kuturudisha nyuma, kutupa nguvu na kutufurahisha pia.

Katika mambo yote uliyokutana nayo, ni kipi kimekugusa sana kwa namna moja ama nyingine na kukufunza jambo?
Nimejifunza kutolazimisha mwanamke anipende.Mwache aende akitaka kwenda aende atakuja kujuta maamuzi yake kwa muda mfupi tu dunia itakapomfundisha.
 
Back
Top Bottom