azithromycim
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 288
- 714
Mapenzi yanaweza kuwa mlango wa mafanikio katika maisha yako.
Ukipendwa pendeka acha nyodo wazuri ni wengi
Ukipendwa pendeka acha nyodo wazuri ni wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapo Bado hujaujua uhalisia wakeKila mtu ana uhalisia pande mbili, ule upande anaouficha itatokezea tu, ni suala la muda.
Kuna mtu namfahamu kwa miaka 20 sasa, mwaka huu ndiyo nimeujua uhalisia wake kamili.
Wakuu,
Mwaka 2023 unakaribia kuisha, tumekutana na mambo mengi, ya kufunza, kukatisha tamaa, kutusogeza mbele ama kuturudisha nyuma, kutupa nguvu na kutufurahisha pia.
Katika mambo yote uliyokutana nayo, ni kipi kimekugusa sana kwa namna moja ama nyingine na kukufunza jambo?
Hata weupe, Misri imekataa magaidi wa kislamu kutoka palestina: Weupe wenzao.Nimejifunzaa mtu mweusi Hana rafiki wa kweli wengi ni wanafiki,,jiamin wew mwenyew na maisha yakoo
Dili ziko bar ila walevi na wanywaji hawaaminiki , Deli ipo siku nitakudaka bwana mdogo
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
100%Ukiwa umefulia mzeya mbususu utaisomaga tuu jf.
Ila ukiwa na mihela ah mwanawane lazima upate hiyo kitu sio chini ya mara nne kwa siku
Mara 4 kwa siku?Ukiwa umefulia mzeya mbususu utaisomaga tuu jf.
Ila ukiwa na mihela ah mwanawane lazima upate hiyo kitu sio chini ya mara nne kwa siku
Yaani acha kabisa Mimi ni binamu yangu niliempenda sana namshukuru Mungu kwa kunionesha mapemaHuu mwaka nimejifunza mengi,kikubwa do not trust anybody hata akiwa mtu wa karibu yako.Nalia ndani kwa ndani.Hakika nimetendwa haswa na mtu wa karibu haswa
Ndio mzeee unajua kuwa na hela ndio nguvu za kiume zenyewe yaani mnara unasoma tuu. Asubuhi mchana jioni na usiku...unapiga kimoko momo tuuMara 4 kwa siku?
Somo gani alikupa mzee?kama hutojali kushare...Huu mwaka nimejifunza kutoa zaidi kwa wenye uhitaji kushiriki zaidi kwenye jamii.
Kuna jamaa alinikutaga ferry miaka mitatu nyuma alinikuta nakunywa kahawa na washkaji bondeni tunastorika akanichomoa mimi pekeyangu akasogeza pembeni na akanieleza kiume kakwama hana nauli katoka jela wiki moja iliopita na akapewa dili kimbiji kuna kazi kaenda kakosa kazi akarudi mpaka ferry kwa miguu na ukitizama mazingira yake kweli kachoka.
sikutoa neno mdomoni niliingia mfukoni na akilini nikasema hela yeyote kubwa inayopanda basi nitampa bila kupepesa macho.
Nilipanda na 5k na 10k nikampa 10k bila kusita alishukuru sana nikamwambia kwa utani watu kama nyie mnatusuaga maisha ukizipata usinisahau ukija ferry ulizia 92 utanipata basi jamaa akaniaga nikampa na 200 ya kuvukia akaondoka na mm nikabaki sikumuambia mtu lile swala, Mungu mkubwa jamaa mwaka huu juzi tu kaja na lx namba E aloo alivyovimba nilishamsahau, mwamba akaniita 92 nikamfuata akaniambia zama ndani kaka nikulipe fadhila. Sikuamini kama ni yeye nikaweka pikipiki yangu vizuri nikazama ndani akaniuliza wapi naweza kunywa beer nikaenjoy nikamuelekeza tukaenda tukakaa alifunguka mengi sana magumu aliopitia stori zake ziliniumiza roho sana ila zilinipa nguvu ya kuendelea kupambana jamaa alipiga vyombo mpka pakafungwa akaomba nimrudishe kwake hapo ndipo nilipochoka mwamba anaishi mashavuni balaa akanipa maokoto tukapeana shukrani nikajigeuza kurudi ferry, njiani nilikua nawaza ila nikabaki kusema Mungu mkubwa leo sio sawa na jana.
Kwenye swala la kushiriki kwenye jamii mtaani kwangu kulikua na msiba basi mambo hayakua safi sana nilipofika kutoa pole mama wa ile nyumba aliniomba kama mwanae nimkopeshe 100k sikuwa na hicho kiwango nikamuomba wife lakini wakati napeleka hiyo hela nikajifunza msibani pale mambo ni mbovu hakuna hata chai kumepoa nilijiskia vibaya sana nikatoa ile hela nikampa nikaondoka kwenda kutafta angalau vitu kadhaa nivipeleke watumie nina rafiki yangu kwao wanatoa sana wa wenye uhitaji nikamnyookea mzee wake nikamueleza mazingira na nn nimefanya mpaka muda huo akanielewa akachukua ndinga yake tukaingia duka la jumla ambalo ni lake akachukua mchele sukari majani unga wa ngano amira na mazaga ya kupikia tukaenda msibani akawapa pole tukarudi kwake yule mzee akanikalisha chini akanipa somo ambalo bila kishiriki kwenye jamii kamwe nisingelipata alimwaga madini kwangu mimi niliona ni maneno ya dhahabu, msiba ulipoisha yule mama alikuja kusema asante nilikua na wife mama yule alilia sana akijua mimi ndiye nimetoa yote yale alinishukuru na kuniachia maneno yenye baraka nilipata amani sana kujua nimesaidia penye uhitaji. 2023 nimejifunza jambo na halitofutika maishani mwangu
Hakuna taasisi au binadamu atakuja kukuokoa aua kukutetea. Maisha ni zawadi uliyopewa wewe pambania malengo yako.Wakuu,
Mwaka 2023 unakaribia kuisha, tumekutana na mambo mengi, ya kufunza, kukatisha tamaa, kutusogeza mbele ama kuturudisha nyuma, kutupa nguvu na kutufurahisha pia.
Katika mambo yote uliyokutana nayo, ni kipi kimekugusa sana kwa namna moja ama nyingine na kukufunza jambo?
Naomba ipingane na hii kidogo ukiwa na hela kiasi sawa. Pesa ikiwa nyingi unakuwa busy hata hamu na muda wa kufanya mapenzi huna. Unapata hamu ukiwa umepumzika nyumbani kuna kipindi unaweza ukahisi una matatizo.Kukaa miezi sita bila nyeto au kugegeda kunawezekana ila uwe umefulia
you nailed itnimejifunza yafwatayo:
1. Uhai wa binadamu ni kitu ambacho kinaweza kuisha wakati wowote, mahali popote, na katika mazingira yoyote yale. Tujitahidi kuishi vizuri na watu na kumtukuza Mungu.
2. Utu ni jambo adimu sikuizi, watu wanathamini mali na hela zaidi ya utu. Wengi waliotuzunguka kwenye maisha, wako karibu yetu kwasababu ya vitu tulivyonavyo na sio utu. Vitu hivyo vikiisha, wengi watatukimbia, hata simu zetu hawatapokea. Hayo yakitokea, tunapaswa kusali sana na kusonga mbele na maisha.
3. Kila mtu amekuja duniani kivyake na ataondoka duniani kivyake. Ishi maisha yako, usiangalie ya watu, ya watu hayakuhusu wala ya kwako hayawahusu.
4. Tujitahidi kufurahia maisha wakati wote, hatuishi mara mbili.