Mwaka huu 2023 umekupa funzo gani kubwa katika maisha yako?

1.Ukitaka kufanikiwa katika jambo lolote jitihada ni jambo la muhimu...
2.Mungu ni mwema jana,Leo na hata kesho tumtumaini katika kila jambo
3.Ukijenga dhana ya kufanya mambo kwa budget unatoboa
4.Tumia akili katika swala la mahusiano na siyo hisia
 
Mimi nimejifunza uvumilivu, kukabiliana na failures, dhihaka na kunyanyuka tena na kuanza upya.

Nimeamin katika kufanya kitu kidogo katika ubora mkubwa pale napokosa mafasi ya kufanya vitu vikubwa.

Nimeimarika katika kupenda kwa Akili na kujali familia kuliko kingine chochote.

β€œSiasa na Dini ni Biashara za watu, Tutafute hela tu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…