Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hofu yangu watahimili mikiki ya pacome, Mzize na Maxi?Uko sawa kabisa kapombe leo amegeuza geuzwa kama chapat shabalala anakabia macho anasindikiza tu simba beki zote zimechoka n wazito pia wangesajili na winga teleza wenye kasi