Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Naona sasa maji na mafuta vinaanzaa kujitengaa taratibu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rudia tena kutazama hiyo mechi inawezekana umeitazama ukiwa na alcohol kichwaniNaahindwa ku Coment andiko lako maana kuna ukweli na Uongo sijui makusudi au Bahati mbaya.
1. Gibril Silla ndio winga mgumu zaidi kumkaba ligi kuu kuliko winga yoyote mabeki wote wanalijua hili.
2. Shabalala alikuwa anacheza Beki wa kushoto yaani no .
Kwa mbinu za kisasa kabisa Mtu anayewajibika kumsaidia beki wake ni kiungo mkabaji 6,8.
3 .Shabalala 3 hawezi kusaidiwa na Beki No 5 Never Ever narudia.
SHABALALA BEKI NO 3 HAWEZI KUSAIDIWA NA BEKI NO 5
BEKI ANAYEWEZA KUMSAIDIA ZIMBWE NI BEKI NO 4 AMBAYE NI HAMZA. Ambaye huwa anakuwa upande wa kushoto.
angalia mpira ki Ufundi na sio ki shabiki maandazi.
Shabalala kufichiww makosa na Beki No 5 ni Uongo Mtakatifu
Uongo Pr max
Uongo wa hali ya Juu.
Nimemaliza.
rudia tena kutazama hiyo mechi inawezekana umeitazama ukiwa na alcohol kichwani
Sina muda wa kubishana na mchaMBUZI maandaziSINA HUO MUDA NA SINA HUO UOUMBAVU.
BEKI ANAYEWEZA KUMBACK UP SHABALALA NI BEKI NO 4 WA UPANDE WAKE AMBAYE NI HAMZA.
Wewe mpira Bado sana.
Hujui mpira kabisa.
Jifunze kwanza mpira uache kuandika Uongo hapa Jf
Sina muda wa kubishana na mchaMBUZI maandazi
Namba 4 akamsaidie namba 3? Wewe hata mpira umewahi kuucheza kweli?Naahindwa ku Coment andiko lako maana kuna ukweli na Uongo sijui makusudi au Bahati mbaya.
1. Gibril Silla ndio winga mgumu zaidi kumkaba ligi kuu kuliko winga yoyote mabeki wote wanalijua hili.
2. Shabalala alikuwa anacheza Beki wa kushoto yaani no .
Kwa mbinu za kisasa kabisa Mtu anayewajibika kumsaidia beki wake ni kiungo mkabaji 6,8.
3 .Shabalala 3 hawezi kusaidiwa na Beki No 5 Never Ever narudia.
SHABALALA BEKI NO 3 HAWEZI KUSAIDIWA NA BEKI NO 5
BEKI ANAYEWEZA KUMSAIDIA ZIMBWE NI BEKI NO 4 AMBAYE NI HAMZA. Ambaye huwa anakuwa upande wa kushoto.
angalia mpira ki Ufundi na sio ki shabiki maandazi.
Shabalala kufichiww makosa na Beki No 5 ni Uongo Mtakatifu
Uongo Pr max
Uongo wa hali ya Juu.
Nimemaliza.
Namba 4 akamsaidie namba 3? Wewe hata mpira umewahi kuucheza kweli?
Kutokana na mechi ya jana dhidi ya Azam FC? au Kuna lingine?Ahlan wa sahalan.
Kwa hali aliyofikia beki wa kushoto wa Simba , tshabalala ni wazi kuwa haendani tena na falsafa ya mpira wa kasi wa Simba.
Ikiwa simba inahitaji kufika mbali kimataifa basi wanatakiwa watafute mabeki wapya kushoto na kulia ili kuifanya falsafa ya mwalimu Fadlu kuwa na nguvu na imara.
Leo Djibril Sillah kamchosha sana Shabalala kiasi kwamba alishakata moto mapema kuanzia dakika ya 60. Kocha wa Azam kwa kulitambua hili akaamua azidi kumpeleke watu wenye kasi upande wake. Mara nyingi Shabalala alikuwa nje ya position yake na waliokuwa wakimfichia makosa ni Che Malone aliyeumia na baadae Karaboue Chamouh.
Lauti kama Azam wangetumia sana madhaifu ya upande wa shabalala basi wangeiadhibu sana Simba kwenye mechi ya leo.
Wito wangu kww uongozi wa Simba ni kuhakikisha kuwa wanafanya mapinduzi ya usajili katika nafasi ya beki wa kulia na Kushoto. Viongozi waache siasa za kuangalia majina badala yake walete kweli watu wa soka.
Shabalala madhaifu yajr makubwa yapo katika kukaba na kushambulia. Winga anaposhambulia yeye huwa nyuma na timu inaposhambuliwa haonekani katika nafasi yake. Kifupi anakabia kwa macho pia hana uwezo wa kupiga Crosses za maana.
Soma Pia: FT | Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025
Viongozi iliangalie hili kwa jicho yakinifu. Shabalala na mzee mwenzie Kapombe kinachoendelea kuwabakisha Simba ni uwezo wao wa nje ya uwanja kwenye kuwapiga misumari wachezaji wanaosajiliwa kuja kushindana nao katika nafasi zao. Ikiwa Simba inahitaji mapinduzi ya kweli basi ni vyema kuachana na wachezaji hawa na kutafuta wachezaji wenye uwezo mkubwa.
Hawatakagi kufungwa tu kama mchambuzi alivyo,Ni juzi tu amechaguliwa kwenye kikosi Cha kafu.KILA TIMU INAFUNGWA.Naona mnaanza kuona kunapo vuja.
walikuwepo champion ligiUle upande wake Kuna viumbe katili kama pacome,Mzize,Maxi , hivyo ushauri ni muhimu uzingatiwe
Pole sana kwa hili povu unalomwaga.Umeandika nini?
Umeshangaa!!!
Umeuliza?
Umebutwaa!!!
Umebwatuka????
Au unataka kufundishwa????
POLE SANA KWA UJINGA UNAO KUTESA
Kwani Zimbwe ndo alisema Manula kauza match??Ubaya aliomfanyia Manula kuwa ameuza mechi ya goli tano zile hadi Sasa Manula anawekwa benchi bila sababu yeyote ya msingi Sasa Umebwela kwake.Malipo ni hapa hapa..
Ile ilikuwa ndondokela tu yeye alikuwa anapiga krosi mpira ukakatika bahati mbaya uakelelkea kunako nyavu ndio maana hata yule kipa akabaki anashangaa mpira umeingiaje ndani.Huyu si ndiye aliyepiga krosi ikaingia yenyewe kwenye mechi na waarabu na akaimbwa sana, leo tena hajui kupiga krosi za maana!!!
Hahahaha, champion league sio NBC league ndio maaana kule hawajamfunga mtu 5-1 Wala 5-0walikuwepo champion ligi