Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hofu yangu watahimili mikiki ya pacome, Mzize na Maxi?Uko sawa kabisa kapombe leo amegeuza geuzwa kama chapat shabalala anakabia macho anasindikiza tu simba beki zote zimechoka n wazito pia wangesajili na winga teleza wenye kasi
Km mechi ya goli 5 walivyofanya ,walipita kulia zaidina Yanga watatumia udhaifu wa upande wake kuishambulia Simba
Hao hawana kasi ubovu wa mabeki wa simba wakifanyiwa press huwa wazito wanabaki kukabia macho na kupoteanaHofu yangu watahimili mikiki ya pacome, Mzize na Maxi?
Afu wanaume sasa na hawajaoaNje ya mada, nasikia kuna watu huwa wanaoga usiku kabla ya kulala halafu wakiamka asubuhi wanaoga tena?
GSM this, GSM that. Eng Hersi this, Eng Hersi that.Mmoja wa wachezaji ambao Hersi anawamezea mate ni Zimbwe.
Makosa na madhaifu ya Zimbwe yamekuwa ni haya haya kwa muda mrefu. Hili tatizo la kuacha mtu wake nyuma yake kama lililozaa goli la leo la pili nimelisema saana. Amefanya hili kosa sana tu, naweza kurudi hadi mechi na Galaxy ya Mkapa 3-1, nadhani lilikuwa goli la 3.
Kwa upande wangu amekuwa the weakest link ya Simba kwa muda mrefu sana.
Ukweli ndiyo huo. Zimbwe lazima atakuja kuchezea Yanga hata kama atakuwa na miaka 40. Hili nimeshawahi kulisema kitambo.GSM this, GSM that. Eng Hersi this, Eng Hersi that.
Kwahy hao niliowataja hawajui Ku press hawana Kasi ? Ngoja utaonaHao hawana kasi ubovu wa mabeki wa simba wakifanyiwa press huwa wazito wanabaki kukabia macho na kupoteana
Bado hawajui kama bundi kashatua pale kwenye ghorofa lao mtaa wa msimbazi.Tarehe 8
Yanga 3-1 5imba
FT hatumtaki Mangungu hatumtaki Kibu, Kapombe kauza kechi, Hussein kazeeka, Chasambi Yanga
Ona nilichowahi kusema kuhusu ukabaji wake na kilichotokea leo:Mmoja wa wachezaji ambao Hersi anawamezea mate ni Zimbwe.
Makosa na madhaifu ya Zimbwe yamekuwa ni haya haya kwa muda mrefu. Hili tatizo la kuacha mtu wake nyuma yake kama lililozaa goli la leo la pili nimelisema saana. Amefanya hili kosa sana tu, naweza kurudi hadi mechi na Jwaneng Galaxy ya Mkapa 3-1, nadhani lilikuwa goli la 3.
Kwa upande wangu amekuwa the weakest link ya Simba kwa muda mrefu sana.
Zimbwe aache uchezaji wa kuacha mtu wake nyuma yake hasa eneo la hatari. Simba imekuwa inafungwa magoli mengi ya namna hii.
Yule ni kolo og,hata akichanjwa.nyinyi hamumtaki