Mwaka huu Simba sc iachane na beki wake Mohammed Hussein. Huyu jamaa ameshazeeka na amechoka sana

Naahindwa ku Coment andiko lako maana kuna ukweli na Uongo sijui makusudi au Bahati mbaya.

1. Gibril Silla ndio winga mgumu zaidi kumkaba ligi kuu kuliko winga yoyote mabeki wote wanalijua hili.

2. Shabalala alikuwa anacheza Beki wa kushoto yaani no .
Kwa mbinu za kisasa kabisa Mtu anayewajibika kumsaidia beki wake ni kiungo mkabaji 6,8.

3 .Shabalala 3 hawezi kusaidiwa na Beki No 5 Never Ever narudia.
SHABALALA BEKI NO 3 HAWEZI KUSAIDIWA NA BEKI NO 5
BEKI ANAYEWEZA KUMSAIDIA ZIMBWE NI BEKI NO 4 AMBAYE NI HAMZA. Ambaye huwa anakuwa upande wa kushoto.
angalia mpira ki Ufundi na sio ki shabiki maandazi.

Shabalala kufichiww makosa na Beki No 5 ni Uongo Mtakatifu
Uongo Pr max
Uongo wa hali ya Juu.

Nimemaliza.
 
rudia tena kutazama hiyo mechi inawezekana umeitazama ukiwa na alcohol kichwani
 
rudia tena kutazama hiyo mechi inawezekana umeitazama ukiwa na alcohol kichwani

SINA HUO MUDA NA SINA HUO UOUMBAVU.
BEKI ANAYEWEZA KUMBACK UP SHABALALA NI BEKI NO 4 WA UPANDE WAKE AMBAYE NI HAMZA.

Wewe mpira Bado sana.
Hujui mpira kabisa.

Jifunze kwanza mpira uache kuandika Uongo hapa Jf
 
SINA HUO MUDA NA SINA HUO UOUMBAVU.
BEKI ANAYEWEZA KUMBACK UP SHABALALA NI BEKI NO 4 WA UPANDE WAKE AMBAYE NI HAMZA.

Wewe mpira Bado sana.
Hujui mpira kabisa.

Jifunze kwanza mpira uache kuandika Uongo hapa Jf
Sina muda wa kubishana na mchaMBUZI maandazi
 
Namba 4 akamsaidie namba 3? Wewe hata mpira umewahi kuucheza kweli?
 
Huyu Mohamed husein kipindi naanza kufatilia mpira sio muda mrefu Sana, alichomesha goli likapitia kwake nililaumu Sana nikasema mchezaji gani huyu? Mijitu ilinijia juu, lkn kwa sababu Mimi Ni player na kwa ninavyofahamu misteki Kama zile hazitakiwi kabisa kwenye fufuboli niliona dosari. Na kila nilipokuwa nikiponda kuhusu mabeki hao watu ooooh! Mtaalam yuleee!

Sawa kwenye soka unaweza kweli ukawa vizuri kontro imetulia lkn manufaa hakuna zaidi unachomesha. Ndo sababu Mimi hii time siishabikii kivile coz naona pamoja na matengenezo lkn bado inasua sua tofauti na yanga ambao kwa jicho la mbali hata wakifungwa unaona kabisa Ni bahati mbaya. Wapumbavu Simba waache siasa.
 
Namba 4 akamsaidie namba 3? Wewe hata mpira umewahi kuucheza kweli?

Umeandika nini?
Umeshangaa!!!
Umeuliza?
Umebutwaa!!!
Umebwatuka????
Au unataka kufundishwa????
POLE SANA KWA UJINGA UNAO KUTESA
 
Kutokana na mechi ya jana dhidi ya Azam FC? au Kuna lingine?
 
Huyu si ndiye aliyepiga krosi ikaingia yenyewe kwenye mechi na waarabu na akaimbwa sana, leo tena hajui kupiga krosi za maana!!!
 
Ubaya aliomfanyia Manula kuwa ameuza mechi ya goli tano zile hadi Sasa Manula anawekwa benchi bila sababu yeyote ya msingi Sasa Umebwela kwake.Malipo ni hapa hapa..
Kwani Zimbwe ndo alisema Manula kauza match??
 
Huyu si ndiye aliyepiga krosi ikaingia yenyewe kwenye mechi na waarabu na akaimbwa sana, leo tena hajui kupiga krosi za maana!!!
Ile ilikuwa ndondokela tu yeye alikuwa anapiga krosi mpira ukakatika bahati mbaya uakelelkea kunako nyavu ndio maana hata yule kipa akabaki anashangaa mpira umeingiaje ndani.

Mohamed Husein sasa hivi sijui kakumbwa na nini. Akivuka mstari wa kati tu utaona anaanza kugeuka nyuma na bahati mbaya akisogea hata kwenye kibendera cha kona badala apige krosi kwake rahisi ni kurudisha mpira nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…