Mwaka Jana Yanga walipigwa mechi ya 1 na bado walifika fainali

😁😁😁😁😁
Nimeto sare ilaaa

Kijana funga kamba umepangwa na watu siriaz

Al ahly😁
 
kudi lipo wazi sana hili,yanga atafungwa mechi nyingine moja na ahly away zilizobaki zote ni maokoto ya pnt3 muhimu...pnts 12 zinatupeleka robo
 
kudi lipo wazi sana hili,yanga atafungwa mechi nyingine moja na ahly away zilizobaki zote ni maokoto ya pnt3 muhimu...pnts 12 zinatupeleka robo
Itakuwa unyama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…