kilamuruzi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,232
- 1,075
Kuna wanaopinga lakini ndio ukweli. Na siku za usoni atakuwa katika historia ya dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🖕Upuuzi mtupu
Tatizo la kutumia makalio kufikiria badala ya kujambaKazi njema afanyazo mtu hujishuhudia zenyewe,haina haja ya kuzishuhudia,ukiona unatumia nguvu kuwaaminisha watu juu ya kazi njema uliyotenda/iliyotendwa basi kaa chini ufikirie upya,huenda kuna walakini juu ya ulichoamini au kuaminishwa.
Kwani umekasirika?[emoji867]
🖕Kwani umekasirika?
Kunywa maji kalale,alishakufa na ameshaoza,haina haja kulialia humu kuhusu Legacy ya Magufuli,grow upNi mtanzania gani asiyejua kazi ya maana na nzito aliyoifanya hayati JPM kwa ajili ya taifa hili?
Hivi bila kuwa kiongozi unayejitoa muhanga kwa ajili ya taifa lako kusimamia na kudhibiti wala rushwa na mafisadi hili taifa lingekuwa hapa?
Kila nyanja ambayo ilitakiwa isimamiwe vyema ili maendeleo ya taifa letu yapatikane hayati JPM alisimamia vyema tena kwa kwa kujitoa muhanga.
Mfano alipokuwa waziri wa ujenzi kila mtu alishuhudia alivyochapa kazi ili barabara zijengwe.
Alipopata kuwa rais alidhibiti matumizi mabaya ya pesa za umma na zikatumika vizuri na kila mtu alishuhudia ndani ya miaka mitano ya utawala wake mabadiliko makubwa.
Ninapoandika hapa Mv Victoria ni kama meli mpya. Huu ni mfano tu. Mbona huko nyuma hatukuona Mv Victoria ikikarabatiwa namna hii kwa mda mfupi na pesa ziikuwepo?
Kwa ujumla alidhibiti upatikanaji wa mapati ya umma na matumizi yake ndio maana hata kwa muda mfupi tulijikupa tunaingia kwenye taifa la kipato cha kati chini.
Makalio yanakuwasha?Kunywa maji kalale,alishakufa na ameshaoza,haina haja kulialia humu kuhusu Legacy ya Magufuli,grow up
Wewe na mwenzio ELITWEGE akili zenu zipo Makalioni badala ya VICHWANI,kila siku mnalialia humu Legacy ya Magufuli legacy ya Magufuli,nyie vipi aiseeKunywa maji kalale,alishakufa na ameshaoza,haina haja kulialia humu kuhusu Legacy ya Magufuli,grow up
Uraisi sio wa kuujaribu yule alikuwa empty headed aliyejaa visasi na vinyongoKwangu alikuwa waziri wa ujenzi aliyepatia machache na kuharibu mengi.. Urais kamwe hakuuweza .. Viatu vya hiki kiti vilikuwa vikubwa mno kwake
Wewe uliwahi kupanda dreamliner??Zaidi ya wewe mwenyewe kupandwa mgongoni na wajubaAlafu ukimaliza kutukana unaenda kupanda dreamliner huku nafsi ikikusuta sana
Wewe uliwahi kupanda dreamliner??Zaidi ya wewe mwenyewe kupandwa mgongoni na wajubaAlafu ukimaliza kutukana unaenda kupanda dreamliner huku nafsi ikikusuta sana