Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Sang'udi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2016
Posts
9,138
Reaction score
22,236
• Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19.

• Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi.

• Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la amani mbinguni.

• Walitaka kuzima maadhimisho ya mwaka mmoja wa kifo chake but they had no choice, watu wakawa busy na Magufuli kuliko mwaka wao mmoja wa madaraka.

• Na kadhalika.

Poleni sana wahuni. Jiwe anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.
 
• Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19.

• Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi.

• Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la amani mbinguni.

• Walitaka kuzima maadhimisho ya mwaka mmoja wa kifo chake but they had no choice, watu wakawa busy na Magufuli kuliko mwaka wao mmoja wa madaraka.

• Na kadhalika.

Poleni sana wahuni. Jiwe anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.
Ni bora kama ungekufa na kumfuata naona kulinda kaburi hakukutoshi !! Maanake kila dakika unakuja na uzi wake.

Huyo akumbukwe na family yake, chawa wake labda na wana Chato kidogo.

Ne geko nkhoi
 
Ni bora kama ungekufa na kumfuata naona kulinda kaburi hakukutoshi !! Maanake kila dakika unakuja na uzi wake.

Huyo akumbukwe na family yake, chawa wake labda na wana Chato kidogo.

Ne geko nkhoi
Sasa mkuu wewe ni nani unatupangia watu wa kuwakumbuka na mambo ya ku-post!!? 😁

Kama inakuuma kuanzisha nyuzi zake na wewe anzisha ya kwako, haujakatazwa.

Au kuna sheria ya nchi na amri ya Mungu nimeivunja kwa kumkumbuka Rais bora kabisa wa nchi yetu?
 
• Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19.

• Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi.

• Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la amani mbinguni.

• Walitaka kuzima maadhimisho ya mwaka mmoja wa kifo chake but they had no choice, watu wakawa busy na Magufuli kuliko mwaka wao mmoja wa madaraka.

• Na kadhalika.

Poleni sana wahuni. Jiwe anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.
Yule mshirikina hana cha legacy wala nini yuko kuzimu now.
 
Pambana na uyo mungu wako wengne ata hawamkumbuki na wala hawamuitaji
Ila ni haki yako kikatiba kujadili na kuonesha mapenzi kwa mungu mtu wako
 
Najisikia faraja sana napopita sehemu nikasikia chuma JPM anatajwa kwa uzuri hasa akiitwa jina " Mzee " ni furaha sana.

Utasikia Mzee alisema......, Mzee alifanya......., Kipindi cha Mzee ilikua......, mara Mzee yeye aliweza..... nk
 
Back
Top Bottom