Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Nimekuuliza Rais akikutana na wewe unakuwa mwema ghafla?

Kama ni gaidi ugaidi wako unaisha? Jibu swali Acha kurukaruka.
Wewe ndiyo hujajibu swali.

Rais yupi uliwahi kusikia amekutana na gaidi?
 
Pambana na uyo mungu wako wengne ata hawamkumbuki na wala hawamuitaji
Ila ni haki yako kikatiba kujadili na kuonesha mapenzi kwa mungu mtu wako
Mimi na Magufuli tunaamini kwa Mungu mmoja aliyejidhirisha kwetu katika nafsi tatu:

• Mungu Baba (Nafsi ya kwanza ya Mungu)
• Mungu Mwana (Nafsi ya pili ya Mungu)
• Mungu Roho Mtakatifu ?Nafsi ya tatu ya Mungu)
Magufuli hajawahi kuwa mungu wa yeyote.

Halafu ni watu gani hao ambao hawamkumbuki wala kumuhitaji, maana ipo wazi, wewe si mmoja wao.
 
• Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19.

• Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi.

• Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la amani mbinguni.

• Walitaka kuzima maadhimisho ya mwaka mmoja wa kifo chake but they had no choice, watu wakawa busy na Magufuli kuliko mwaka wao mmoja wa madaraka.

• Na kadhalika.

Poleni sana wahuni. Jiwe anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.
Mkuu unajiwewesesha mwenyewe baada ya kukosa ujiko wa kuteka na kupora mali za wananchi mliokuwa mnawabambika eti magaidi au wahujumu uchumi.
 
Najisikia faraja sana napopita sehemu nikasikia chuma JPM anatajwa kwa uzuri hasa akiitwa jina " Mzee " ni furaha sana.

Utasikia Mzee alisema......, Mzee alifanya......., Kipindi cha Mzee ilikua......, mara Mzee yeye aliweza..... nk
Mzee alifanya mambo makubwa sana ndani ya muda mfupi.

Wahuni wanapambana kuyaficha lakini wameshindwa kabisa.

Alichokifanya kilikuwa kikubwa mno.
 
Kina Nape ndio hadi wamepagawa, wanapinga kila kitu kinachohusu au chenye lengo la kumpa sifa JPM.
Nape waziri wetu aisee.....aliyeuchukia kufa uporaji, uonezi na utekaji uliokuwa unaendeshwa na jamaa zako au wewe mwenyewe ndani ya Awamu.

Huoni mwenzio Mtwara kaendeleza sera za uporaji na uuaji sasa yuko kwa Pilato.
 
Hata km wapinge,magufuli was the best president ever Kwa Tanzania na Africa mashariki.

Pamoja na madhaifu yake ila ataendelea kukumbukwa na wengi,kwani kazi zake ziliwagusa wengi hasa wanyonge...na siyo mafisadi.

Ule ukoo uliokuwa umeundwa wa mafisadi tangu kipindi cha JK ndiyo kila siku wanaponda kazi za JPM.
 
Nape waziri wetu aisee.....aliyeuchukia kufa uporaji, uonezi na utekaji uliokuwa unaendeshwa na jamaa zako au wewe mwenyewe ndani ya Awamu.
Huoni mwenzio Mtwara kaendeleza sera za uporaji na uuaji sasa yuko kwa Pilato.
Tunatimiza mwaka mmoja sasa lakini legacy anayopambana nayo ndio kwanza inazidi kushika hatamu.
 
Laana ya wote waliohusika na njama ovu haitakaa iwaache salama.

Hata hawa wanaosahau wajibu wao na kushinda wakipambana na marehemu nao hawatabaki salama!

Hata namba moja nae ni kama ofisi haikaliki!
 
Back
Top Bottom