Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Mkuu umepigwa ganzi na hufurukuti kwa penzi lako kwa mwendazake.
He is dead
Repeat DEAD!
Alifanya mengi mazuri, lakini mengizaidi mabaya vile vile, na ndio maana kuna watu wanafurahia kuondoka kwake maana kesi za kubambikw zimefutwa, walioporwa wamefurahi, waliotumika kma Sabaya(na wewe inaelke) sasa wanakula karma ya waliyoyatend.
Ubaya haulipi.
Katika uo ubaya kulikuwepo utekaji, ubambikaji, unyang'anyaji wa mali(Makonda sasa hivi naona joto ya jiwe), uuaji.
Kuna watu walifia jela, kama mzee Shamte wa TPSF( Mungu aiweke roho yake pema peponi), na wengine kutekwa na kutoonekana asilani-Ben Saa Nane.
Sasa kama mtoa mada you are comfortable na hili au haya yote -UNA MATATIZO.
Huenda unayosema ni kweli. Hebu tuwekee uthibitisho mkuu.
 
Binafsi sijawahi kufa mkuu.

Duh! Hebu tupe uzoefu, kwahiyo huwa unaenda kuzimu?

Usiogope kijana. Kufa ni hali ya kutokuwepo. Ni kinyume cha uhai.

Huendi kuzimu wala peponi, bali unarudi kwenye udongo mahali ulipotwaliwa au ulipotoka.
 
Gari haliwezi simama kwa kukosa abiria, tutamkumbuka kwa mazuri.

Kagame ndie aliyempotosha.
 
Usiogope kijana. Kufa ni hali ya kutokuwepo. Ni kinyume cha uhai. Huendi kuzimu wala peponi, bali unarudi kwenye udongo mahali ulipotwaliwa au ulipotoka.
Mwili ndio ubaki udongoni,nafsi na roho yako uenda paradiso au kuzimu tegemeana na matendo yako.

Hii kwa mujibu wa maandiko Quran tukufu na Biblia takatifu pia kwa Shuhuda za walioenda na kurudi.
 
Kukatika umeme imekuwa kero kweli ,imezidi sana..wanyonge tunamkumhuka.
Jiwe alishamalizana zamani sana na hizi mambo za umeme.

Shida hawataki kuiendeleza Julius Nyerere Hydroelectric Power...

Wanahofia legacy.
 
Usiogope kijana. Kufa ni hali ya kutokuwepo. Ni kinyume cha uhai. Huendi kuzimu wala peponi, bali unarudi kwenye udongo mahali ulipotwaliwa au ulipotoka.
Huwa unaenda kuzimu?
 
Back
Top Bottom