Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Unaoongea utoto gani boss!?
Si CHADEMA mmepiga chini Katiba Mpya in exchange of siasa za kistaarabu. 😂😂

Mbowe siku hizi anatembelea wakuu wa mikoa kama Mbatia enzi zile.

Mbona na yeye hamumshukii au kunya anye kuku, akinya bata ameharisha?
 
Mama Samia songa mbele, wanazidi kulegea tu huku......wanalazimisha ushindani usiokuwepo, wanajifariji kwa nyimbo ile ile kila siku.

Kiufupi wamekwama.

Bandari ya Mtwara hiyooooooo, dangote huyoooo na ongezeko la uzalishaji wa cement.
 
Mama Samia songa mbele, wanazidi kulegea tu huku......wanalazimisha ushindani usiokuwepo, wanajifariji kwa nyimbo ile ile kila siku. Kiufupi wamekwama. Bandari ya Mtwara hiyooooooo, dangote huyoooo na ongezeko la uzalishaji wa cement.
Kwani kuna mtu amemtaja Samia?

Halafu Samia ni CCM wewe kiazi.

CHADEMA mnakwama wapi?
 
Acha propaganda zako wewe mbwiga!! Mbowe wa wapi huyo?
Mbowe huyuhuyu anayetembelea Wakuu wa Mikoa kama Mbatia enzi zile.

Mwambie kuhusu Katiba Mpya akufukuze uanachama.

Yeye ana memories siku hizi, siasa za kistaarabu kwanza, Katiba Mpya kitu gani bhana. 😂
 
Back
Top Bottom