Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Najisikia faraja sana napopita sehemu nikasikia chuma JPM anatajwa kwa uzuri hasa akiitwa jina " Mzee " ni furaha sana.

Utasikia Mzee alisema......, Mzee alifanya......., Kipindi cha Mzee ilikua......, mara Mzee yeye aliweza..... nk
Kuna wengine bado wanamuita mwendazake!
 
Mi nakumbuka tu "Iiiiiiiiiiii"

Jiwe angekuwa Rais bora Sana angekuwa na subira ya kutamka kinywani na angekubali kukosolewa
Ni Rais bora sana.

Na Watanzania wengi tulimpenda kwa kuwa alikuwa mkweli unlike wanasiasa wengi.

Hakuwa mfuasi wa ku-massage lugha au ku-sugarcoat maneno.
 
• Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19.

• Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi.

• Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la amani mbinguni.

• Walitaka kuzima maadhimisho ya mwaka mmoja wa kifo chake but they had no choice, watu wakawa busy na Magufuli kuliko mwaka wao mmoja wa madaraka.

• Na kadhalika.

Poleni sana wahuni. Jiwe anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.
Nimekuwa nauliza na narudia,kifo cha Mwendazake ni sherehe ya Kitaifa?

This is nonsense and rubbish
 
Binafsi simkumbuki,
Kiukweli wanaomkumbuka sijui wao walifaidika na nini maana binafsi naona kama Nchi tulikula hasara na kurudi nyuma Sana.

Nikiangalia mwaka mmja wa Samia una tija kuliko ilivyokuwa hapo awali,mambo yote ya msingi yanakwenda bila stress..

Tulikuwa tunaambiwa hakuna ajira na such nonsense kwamba pesa inaenda kwenye miradi,mbona pesa zinaenda na ajira zinaendelea chini ya mama?

Yaani nimkumbuke mtu alikuwa mwongo,katili na aliyependa kujisifu ?
 
Najisikia faraja sana napopita sehemu nikasikia chuma JPM anatajwa kwa uzuri hasa akiitwa jina " Mzee " ni furaha sana.

Utasikia Mzee alisema......, Mzee alifanya......., Kipindi cha Mzee ilikua......, mara Mzee yeye aliweza..... nk
Zilipendwa!
 
Kiukweli wanaomkumbuka sijui wao walifaidika na nini maana binafsi naona kama Nchi tulikula hasara na kurudi nyuma Sana.

Nikiangalia mwaka mmja wa Samia una tija kuliko ilivyokuwa hapo awali,mambo yote ya msingi yanakwenda bila stress..

Tulikuwa tunaambiwa hakuna ajira na such nonsense kwamba pesa inaenda kwenye miradi,mbona pesa zinaenda na ajira zinaendelea chini ya mama?

Yaani nimkumbuke mtu alikuwa mwongo,katili na aliyependa kujisifu ?
Ni mradi gani unaendelea vizuri?

Ni ajira gani hizo unaongelea?
 
Back
Top Bottom