Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Hata km wapinge,magufuli was the best president ever Kwa Tanzania na Africa mashariki.
Pamoja na madhaifu yake ila ataendelea kukumbukwa na wengi,kwani kazi zake ziliwagusa wengi hasa wanyonge...na siyo mafisadi.

Ule ukoo uliokuwa umeundwa wa mafisadi tangu kipindi cha JK ndiyo kila siku wanaponda kazi za JPM.
JPM alikuwa chuma kwelikweli.

Ni mmoja wa viongozi bora kabisa kuwahi kutokea Africa.

His legacy lives to date.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Laana ya wote waliohusika na njama ovu haitakaa iwaache salama.

Hata hawa wanaosahau wajibu wao na kushinda wakipambana na marehemu nao hawatabaki salama!

Hata namba moja nae ni kama ofisi haikaliki!
Magufuli alikuwa anaongozwa na Mungu. Wote hao wamefeli vibaya sana.
 
Pole sana Mr. Legacy defendant!!!
• Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19.

• Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi.

• Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la amani mbinguni.

• Walitaka kuzima maadhimisho ya mwaka mmoja wa kifo chake but they had no choice, watu wakawa busy na Magufuli kuliko mwaka wao mmoja wa madaraka.

• Na kadhalika.

Poleni sana wahuni. Jiwe anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.
 
Mkuu hata Mwinyi,Kikwete,Mkapa ama Samia kuna watu wengi sana wanawasema kwa mazuri yao wala huwezi kuwaeleza mabaya yao wakakuelewa.

Vivyo hivyo kama wewe unavyomuona huyo unayemkubali na kufurahi anapitajwa kwa mazuri.

All in all hakuna binadamu anayesemwa kwa mazuri pekee lazima yawepo mabaya pia.
Najua

Lengo langu si kuweka Comparison baina yao, bali ni ninyi kutambua kuwa najisikia faraja sana naposikia au kuona Chuma JPM anatajwa kwa mazuri huku akiitwa jina " Mzee " .

Karibu Geita - chato
 
Bangi ya Chato ndiyo machale yake haya?
Au umekosa njia Za kuibia watu lizokuwekea lile jambazi la kukatwa mkono lenye roho ya Fimbo ya mchezo wa hockey?
Jifunze kuandika kwanza.
 
• Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19.

• Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi.

• Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la amani mbinguni.

• Walitaka kuzima maadhimisho ya mwaka mmoja wa kifo chake but they had no choice, watu wakawa busy na Magufuli kuliko mwaka wao mmoja wa madaraka.

• Na kadhalika.

Poleni sana wahuni. Jiwe anaendelea kuwatesa hata katika umauti wake.
Haswa…
 
Hata km wapinge,magufuli was the best president ever Kwa Tanzania na Africa mashariki.
Pamoja na madhaifu yake ila ataendelea kukumbukwa na wengi,kwani kazi zake ziliwagusa wengi hasa wanyonge...na siyo mafisadi.

Ule ukoo uliokuwa umeundwa wa mafisadi tangu kipindi cha JK ndiyo kila siku wanaponda kazi za JPM.
Wakupinga yupo sasa?

Ni haya matakataka machache hayana madhara
 
Mnaweweseka sana. Na bado.
Mkuu umepigwa ganzi na hufurukuti kwa penzi lako kwa mwendazake.

He is dead

Repeat DEAD!

Alifanya mengi mazuri, lakini mengizaidi mabaya vile vile, na ndio maana kuna watu wanafurahia kuondoka kwake maana kesi za kubambikw zimefutwa, walioporwa wamefurahi, waliotumika kma Sabaya(na wewe inaelekea) sasa wanakula karma ya waliyoyatenda.
Ubaya haulipi.

Katika huo ubaya kulikuwepo utekaji, ubambikaji, unyang'anyaji wa mali(Makonda sasa hivi anaona joto ya jiwe), uuaji.

Kuna watu walifia jela kwa kesi za kubambikwa, kama mzee Shamte wa TPSF( Mungu aiweke roho yake pema peponi), na wengine kutekwa na kutoonekana asilani-Ben Saa Nane.

Sasa kama mtoa mada you are comfortable na hili au haya yote
-
UNA MATATIZO.
 
Back
Top Bottom