Wewe siwezi kukujibu kwa sababu ni mjinga na una chuki,hakuna mradi wala ajira.Ni mradi gani unaendelea vizuri?
Ni ajira gani hizo unaongelea?
Sema I sio We,Yes, we celebrate his great life and mighty service to the nation.
Tumeachana na madai ya Katiba Mpya, sasa hivi tunafanya siasa za kistaarabu.
Yule mshirikina hana cha legacy wala nini yuko kuzimu now.
Unaoongea utoto gani boss!?
Si CHADEMA mmepiga chini Katiba Mpya in exchange of siasa za kistaarabu. ππUnaoongea utoto gani boss!?
Ukimwambia hivyo Mbowe hatakuelewa... Hataki kabisa kusikia Katiba Mpya.
Mkuu kama mhusika you have no moral authority kudai uthibitisho.Huu ndio uthibitisho?
Kwani kuna mtu amemtaja Samia?Mama Samia songa mbele, wanazidi kulegea tu huku......wanalazimisha ushindani usiokuwepo, wanajifariji kwa nyimbo ile ile kila siku. Kiufupi wamekwama. Bandari ya Mtwara hiyooooooo, dangote huyoooo na ongezeko la uzalishaji wa cement.
Mbowe huyuhuyu anayetembelea Wakuu wa Mikoa kama Mbatia enzi zile.Acha propaganda zako wewe mbwiga!! Mbowe wa wapi huyo?
Ndio nini?wanammisi kwa kasi.
Rest easy mkuu, wameanza na Sabaya, Makonda hayuko mbali.Kwahiyo huu ndio uthibitisho wako? π
HATA WEWE UTALIWA KUTU PIA. NI JAMBO LA WAKATI.Chuma inaliwa kutu