jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Moja ya maamuzi makubwa yaliyifanywa na Mhe. Rais wa JMT Samia Suluhu Hasan ni kutumia fedha za mkopo wa uviko 19 kujenga madarasa na majengo maalumu ya huduma za dharura nchini.
Hii ni kutoka sufuri hadi 150 .
Best achievment in one year!
CCM HOYEE!
Hii ni kutoka sufuri hadi 150 .
Best achievment in one year!
CCM HOYEE!