#Mwaka mmoja# wa Rais Samia tunatarajia vitengo vya huduma za dharura zaidi ya 150

#Mwaka mmoja# wa Rais Samia tunatarajia vitengo vya huduma za dharura zaidi ya 150

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Moja ya maamuzi makubwa yaliyifanywa na Mhe. Rais wa JMT Samia Suluhu Hasan ni kutumia fedha za mkopo wa uviko 19 kujenga madarasa na majengo maalumu ya huduma za dharura nchini.
Hii ni kutoka sufuri hadi 150 .
Best achievment in one year!

CCM HOYEE!
 
Hivi itakuwaje kama litazuka wimbi jingine la Corona na pesa zake mmeshazitumia kwa jambo la tofauti?
 
Hivi itakuwaje kama litazuka wimbi jingine la Corona na pesa zake mmeshazitumia kwa jambo la tofauti?
Huduma za dharura ni pamoja na dharura ya covid 19.zimetumika eneo sahihi
 
Back
Top Bottom