Popoma mkuu ukiwa kwenye kazi yako, hivi huwa unalipwa shilingi ngapi? Kutwa nzima kusifu upumbavu, wakati watu mtaani wanateseka, maisha yanazidi kuwa magumu, ebu tupeni na sisi hii michongo ya kusifu na kuabudu naona inalipa sana hii kazi.Kwamba hata macho huoni yaani au upofu wa chuki binafsi tuu? π€£π€£π€£..
Usiyempenda Kaja mkuu ni Kazi tuu na inaendelea kwa Kasi kubwa
View attachment 2175194
View attachment 2175195
View attachment 2175196
View attachment 2175197
Unateseka ukiwa mtaa gani na hao unaowasemea?Popoma mkuu ukiwa kwenye kazi yako, hivi huwa unalipwa shilingi ngapi? Kutwa nzima kusifu upumbavu, wakati watu mtaani wanateseka, maisha yanazidi kuwa magumu, ebu tupeni na sisi hii michongo ya kusifu na kuabudu naona inalipa sana hii kazi.
Uwe unawatagi sukuma gang wenzako wanaoteseka kuona legacy inapukitika ππHii ya TARURA, naunga mkono hoja maana mimi mwenyewe ni shuhuda wa kazi nzuri kabisa ya kupendeza na kutukuka inayofanywa na Tarura kwa Barabara za Vijijini na Mijini.
Hebu shuhudia
P
Ona mwingine huyu anavyopata tabu ππππ.Toa ufafanuzi hiyo miradi toka proposal zake zinaandaliwa na budget zake zinapitishwa ilikuwa ni kipindi gani?..au kama Hilo gumu utekelezaji wake ulianza kipindi gani kisha utajua pesa ilitoka kwa kiongozi yupi...EVENTHOUGH THAT IS THEIR JOB AND ITS TAX PAYERS MONEY SO THERE IS NO NEED TO PRAISE THEM
Sent from my SM-N9100 using JamiiForums mobile app
Ahahaha nimegundua kumbe hazikutoshi, hebu jibu kwa ujasiri wote ulionao hili swaliUnateseka ukiwa mtaa gani na hao unaowasemea?
Mbona wewe ndio mpumbavu pamoja na yule mumeo anaeoza huko?
Maskini legacy inasahaulika kwa Kasi sana π¬π¬π¬
Umejaa usaha kichwani,nalipwa milioni kwa siku.
Nyie chawa acheni kuwafanya watanganyika ni wajinga sana,wewe Ni kula kulala hujui shida zinazowapata wanakijiji,tembelea Vijijini ukajionee usituletee vipicha vya kwenye mitandao.Nani kasema ni jitihadi binafsi? Nguvu gani inatumika hapa?
Si huwa mnasema mnataka kupata mrejesho sasa huu ndio mrejesho wenyewe wa tozo nk .
You people mna shida gani nyie ?
ππππ Nimecheka kishenzi.Nilikuwa kidabaga last week, hiyo barabara ya kidabaga to boma la ng'ombe wanakijiji wote wanafahamu imejengwa na mzungu baada ya kuwa anapata changamoto kufika kwenye mashamba yake. So, nashindwa kuelewa which is which.
Nakula na kulala kwa pesa za nani? Watanganyika wameanza kupata shida awamu ya 6? π€£π€£Nyie chawa acheni kuwafanya watanganyika ni wajinga sana,wewe Ni kula kulala hujui shida zinazowapata wanakijiji,tembelea Vijijini ukajionee usituletee vipicha vya kwenye mitandao.
Mkuu hayo mengine sijui kama imejengwa na serikali basi wanakijiji waache kujazana ujinga. Hiyo barabara imekuwa mkombozi sana kwasasa nafika na gari mpaka kwenye mashamba yangu.ππππ Nimecheka kishenzi.
Mkuu huko kuna mradi unaitwa Agri connect funded by European Union,uko mikoa ya Iringa,Njombe,Mbeya na baadhi ya mikoa yenye uzalishaji wa Mazao ya kilimo na biashara hakuna cha mzungu wala nani π¬π¬..
Tuwekee huyo Mkandarasi wa kizungu utuonueshe hapa
Endelea kujitanguliza mbele wakati imedinda upelekewe moto π€£π€£Ahahaha nimegundua kumbe hazikutoshi, hebu jibu kwa ujasiri wote ulionao hili swali
Ni nani anaeishi leo kwakua ametaka yeye? Ni nani ambae hataoza kama huyo unaemcheka humu??
Uhai nao ni kitu cha kujidai??
Ungekomaa na kumsifu huyo dada, maswala ya watu kuoza ni given kwa wote.
Japo mimi ni Msukuma, but it's very unfortunately, mimi sio Sukuma gang, tena kiukweli, hakuna kikundi, kundi, group, linalaitwa Sukuma Gang, this is fictitious group lililoundwa na yule mzushi wa Twitter, but in reality, there is no any Sukuma gang, it doesn't exist anywhere!.Uwe unawatagi sukuma gang wenzako wanaoteseka kuona legacy inapukitika ππ
Punguza mihemko za kijinga, ata kama unalipwa, hakika ungezaliwa msichana ungepewa mimba adi za masikioni na puani.πππUnateseka ukiwa mtaa gani na hao unaowasemea?
Mbona wewe ndio mpumbavu pamoja na yule mumeo anaeoza huko?
Maskini legacy inasahaulika kwa Kasi sana π¬π¬π¬
Umejaa usaha kichwani,nalipwa milioni kwa siku.
Usingekuwa fukara ningejaribu kujibizana na wewe, ila kwakua ni masikini hohehae siwezi kubishana mtu wa daraja la chini kama wewe.Endelea kujitanguliza mbele wakati imedinda upelekewe moto π€£π€£
Wahujumu uchumi nyieSaaana,Kazi na bata
Kwa nini mnawafanya WaTz mabwege kiasi hikiNawasalimu kwa jina la JMT.
Mwaka mmja wa Rais SSH madarakani,wakala wa barabarani za Vijijini na Mijini Tarura imeendelea kuleta mageuzi makubwa ya barabara za Vijijini na Mijini kwa kufungua Nchi kufika kusiko fikika hivyo . kuwanufaisha wananchi.
Ikumbukwe kabla ya kuongezewa bajeti, barabara za Vijijini ilikuwa ni kilio kikubwa sana kwa wanachi wa Vijijini lakini mama alisikia kilio na Sasa matokeo yanaonekana.
Sio tuu barabara za changarawe na madaraja yanajengwa bali hadi Vijijini huko lami zinazidi kutandazwa.
Bado mama ana miaka 4 zaidi,wanaomchukia watampenda wenyewe bila kulazimishwa.
Twende Kazi Mama matunda yako tunayaonaπ
View attachment 2175274
View attachment 2175173
View attachment 2175174
View attachment 2175175
View attachment 2175176
View attachment 2175177
View attachment 2175178
View attachment 2175179
View attachment 2175180
View attachment 2175181
View attachment 2175182
View attachment 2175183
Hii nchi ina unafiki mwingi sanaKwanini nguvu kubwa sana inatumika kutuaminisha kuwa kila maendeleo yanayofanyika ni jitihada binafsi ya raisi. Hizi hongera zimekuwa nyingi kama vile pesa inatoka mfukoni kwake.
Na wapumbavu wengi ni wale wanaojiita wasomi sasa,Kwa nini mnawafanya WaTz mabwege kiasi hiki
Pesa ni za walipa kodi kwa nini kuaminisha mtawala ndio kajenga barabara njia vijinjia
This has to stop
Tuna kizazi cha wapumbavu wengi
Huyu ni kiongozi sio mwenye nchi tuelewane vizuri
Mwaka mmoja kafanya alifanya atanya hizi ngonjera waimbieni wajinga wenzenu
It's ridiculous!
Na wewe kahujumu kwani hupendi pesa? Mtaishia hivyo hivyoWahujumu uchumi nyie