Mwaka mmoja wa Samia madarakani, TARURA yafanya mapinduzi ya kufungua Nchi kufika kusikofikika kwa barabara za Vijijini na Mijini

Mwaka mmoja wa Samia madarakani, TARURA yafanya mapinduzi ya kufungua Nchi kufika kusikofikika kwa barabara za Vijijini na Mijini

Kwamba hata macho huoni yaani au upofu wa chuki binafsi tuu? 🤣🤣🤣..

Usiyempenda Kaja mkuu ni Kazi tuu na inaendelea kwa Kasi kubwa

View attachment 2175194

View attachment 2175195

View attachment 2175196

View attachment 2175197
Popoma mkuu ukiwa kwenye kazi yako, hivi huwa unalipwa shilingi ngapi? Kutwa nzima kusifu upumbavu, wakati watu mtaani wanateseka, maisha yanazidi kuwa magumu, ebu tupeni na sisi hii michongo ya kusifu na kuabudu naona inalipa sana hii kazi.
 
Wakati mnashabikia mambo mnayofanya huku Ubungo manispaa barabara za mitaa ni mbovu kupindukia hasa kwenye kata za Mbezi,Kibamba na king'ong'o naomba mtieleze mna mpango gani na utatekelezwa lini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Popoma mkuu ukiwa kwenye kazi yako, hivi huwa unalipwa shilingi ngapi? Kutwa nzima kusifu upumbavu, wakati watu mtaani wanateseka, maisha yanazidi kuwa magumu, ebu tupeni na sisi hii michongo ya kusifu na kuabudu naona inalipa sana hii kazi.
Unateseka ukiwa mtaa gani na hao unaowasemea?

Mbona wewe ndio mpumbavu pamoja na yule mumeo anaeoza huko?

Maskini legacy inasahaulika kwa Kasi sana 😬😬😬

Umejaa usaha kichwani,nalipwa milioni kwa siku.
 
Toa ufafanuzi hiyo miradi toka proposal zake zinaandaliwa na budget zake zinapitishwa ilikuwa ni kipindi gani?..au kama Hilo gumu utekelezaji wake ulianza kipindi gani kisha utajua pesa ilitoka kwa kiongozi yupi...EVENTHOUGH THAT IS THEIR JOB AND ITS TAX PAYERS MONEY SO THERE IS NO NEED TO PRAISE THEM

Sent from my SM-N9100 using JamiiForums mobile app
Ona mwingine huyu anavyopata tabu 😀😀😀😀.

Barabara za Tarura hazihitaji proposal bali pesa tuu.

Mwisho proposal ndio kufanya kitu kuwa actual? Kama ni proposal basi kila sekta ziko za kutosha ishu ni pesa.

Matokeo ya tozo haya hapa 👇



IMG_20211225_113319_191.jpg


IMG_20211225_112819_383.jpg


IMG_20211225_112049_148.jpg


IMG_20211225_111856_267.jpg


IMG_20220318_130536_742.jpg
 
Nilikuwa kidabaga last week, hiyo barabara ya kidabaga to boma la ng'ombe wanakijiji wote wanafahamu imejengwa na mzungu baada ya kuwa anapata changamoto kufika kwenye mashamba yake. So, nashindwa kuelewa which is which.
 
Unateseka ukiwa mtaa gani na hao unaowasemea?

Mbona wewe ndio mpumbavu pamoja na yule mumeo anaeoza huko?

Maskini legacy inasahaulika kwa Kasi sana 😬😬😬

Umejaa usaha kichwani,nalipwa milioni kwa siku.
Ahahaha nimegundua kumbe hazikutoshi, hebu jibu kwa ujasiri wote ulionao hili swali

Ni nani anaeishi leo kwakua ametaka yeye? Ni nani ambae hataoza kama huyo unaemcheka humu??

Uhai nao ni kitu cha kujidai??

Ungekomaa na kumsifu huyo dada, maswala ya watu kuoza ni given kwa wote.
 
Nani kasema ni jitihadi binafsi? Nguvu gani inatumika hapa?

Si huwa mnasema mnataka kupata mrejesho sasa huu ndio mrejesho wenyewe wa tozo nk .

You people mna shida gani nyie ?
Nyie chawa acheni kuwafanya watanganyika ni wajinga sana,wewe Ni kula kulala hujui shida zinazowapata wanakijiji,tembelea Vijijini ukajionee usituletee vipicha vya kwenye mitandao.
 
Nilikuwa kidabaga last week, hiyo barabara ya kidabaga to boma la ng'ombe wanakijiji wote wanafahamu imejengwa na mzungu baada ya kuwa anapata changamoto kufika kwenye mashamba yake. So, nashindwa kuelewa which is which.
😀😀😀😀 Nimecheka kishenzi.

Mkuu huko kuna mradi unaitwa Agri connect funded by European Union,uko mikoa ya Iringa,Njombe,Mbeya na baadhi ya mikoa yenye uzalishaji wa Mazao ya kilimo na biashara hakuna cha mzungu wala nani 😬😬..

Tuwekee huyo Mkandarasi wa kizungu utuonueshe hapa
 
Nyie chawa acheni kuwafanya watanganyika ni wajinga sana,wewe Ni kula kulala hujui shida zinazowapata wanakijiji,tembelea Vijijini ukajionee usituletee vipicha vya kwenye mitandao.
Nakula na kulala kwa pesa za nani? Watanganyika wameanza kupata shida awamu ya 6? 🤣🤣
 
😀😀😀😀 Nimecheka kishenzi.

Mkuu huko kuna mradi unaitwa Agri connect funded by European Union,uko mikoa ya Iringa,Njombe,Mbeya na baadhi ya mikoa yenye uzalishaji wa Mazao ya kilimo na biashara hakuna cha mzungu wala nani 😬😬..

Tuwekee huyo Mkandarasi wa kizungu utuonueshe hapa
Mkuu hayo mengine sijui kama imejengwa na serikali basi wanakijiji waache kujazana ujinga. Hiyo barabara imekuwa mkombozi sana kwasasa nafika na gari mpaka kwenye mashamba yangu.
 
Ahahaha nimegundua kumbe hazikutoshi, hebu jibu kwa ujasiri wote ulionao hili swali

Ni nani anaeishi leo kwakua ametaka yeye? Ni nani ambae hataoza kama huyo unaemcheka humu??

Uhai nao ni kitu cha kujidai??

Ungekomaa na kumsifu huyo dada, maswala ya watu kuoza ni given kwa wote.
Endelea kujitanguliza mbele wakati imedinda upelekewe moto 🤣🤣
 
Uwe unawatagi sukuma gang wenzako wanaoteseka kuona legacy inapukitika 😀😀
Japo mimi ni Msukuma, but it's very unfortunately, mimi sio Sukuma gang, tena kiukweli, hakuna kikundi, kundi, group, linalaitwa Sukuma Gang, this is fictitious group lililoundwa na yule mzushi wa Twitter, but in reality, there is no any Sukuma gang, it doesn't exist anywhere!.
P
 
Unateseka ukiwa mtaa gani na hao unaowasemea?

Mbona wewe ndio mpumbavu pamoja na yule mumeo anaeoza huko?

Maskini legacy inasahaulika kwa Kasi sana 😬😬😬

Umejaa usaha kichwani,nalipwa milioni kwa siku.
Punguza mihemko za kijinga, ata kama unalipwa, hakika ungezaliwa msichana ungepewa mimba adi za masikioni na puani.😂😂😂
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Mwaka mmja wa Rais SSH madarakani,wakala wa barabarani za Vijijini na Mijini Tarura imeendelea kuleta mageuzi makubwa ya barabara za Vijijini na Mijini kwa kufungua Nchi kufika kusiko fikika hivyo . kuwanufaisha wananchi.

Ikumbukwe kabla ya kuongezewa bajeti, barabara za Vijijini ilikuwa ni kilio kikubwa sana kwa wanachi wa Vijijini lakini mama alisikia kilio na Sasa matokeo yanaonekana.

Sio tuu barabara za changarawe na madaraja yanajengwa bali hadi Vijijini huko lami zinazidi kutandazwa.

Bado mama ana miaka 4 zaidi,wanaomchukia watampenda wenyewe bila kulazimishwa.

Twende Kazi Mama matunda yako tunayaona👇
View attachment 2175274
View attachment 2175173

View attachment 2175174

View attachment 2175175

View attachment 2175176

View attachment 2175177

View attachment 2175178

View attachment 2175179

View attachment 2175180

View attachment 2175181

View attachment 2175182

View attachment 2175183
Kwa nini mnawafanya WaTz mabwege kiasi hiki
Pesa ni za walipa kodi kwa nini kuaminisha mtawala ndio kajenga barabara njia vijinjia

This has to stop
Tuna kizazi cha wapumbavu wengi
Huyu ni kiongozi sio mwenye nchi tuelewane vizuri
Mwaka mmoja kafanya alifanya atanya hizi ngonjera waimbieni wajinga wenzenu

It's ridiculous!
 
Kwa nini mnawafanya WaTz mabwege kiasi hiki
Pesa ni za walipa kodi kwa nini kuaminisha mtawala ndio kajenga barabara njia vijinjia

This has to stop
Tuna kizazi cha wapumbavu wengi
Huyu ni kiongozi sio mwenye nchi tuelewane vizuri
Mwaka mmoja kafanya alifanya atanya hizi ngonjera waimbieni wajinga wenzenu

It's ridiculous!
Na wapumbavu wengi ni wale wanaojiita wasomi sasa,
Watu hawana hata utashi wa kuchangamua mambo
 
Back
Top Bottom