Mwaka mmoja wa Samia madarakani, TARURA yafanya mapinduzi ya kufungua Nchi kufika kusikofikika kwa barabara za Vijijini na Mijini

Punguza mihemko za kijinga, ata kama unalipwa, hakika ungezaliwa msichana ungepewa mimba adi za masikioni na puani.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Legacy inazidi kufutwa 🀣🀣🀣.

Wewe sukuma gang hawakulipi?
 
Usingekuwa fukara ningejaribu kujibizana na wewe, ila kwakua ni masikini hohehae siwezi kubishana mtu wa daraja la chini kama wewe.

Nimeishia hapa.
Kwa hiyo huwataki tena wanyonge? Umeamua kuwakana mara tatu? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 

Kamati ya bunge tembeleeni miradi ya TARURA huko vijijini mfano longido, simanjiro,karatu , Hai na kondoa muone madudu yaliyopo.​

 
Kwanini nguvu kubwa sana inatumika kutuaminisha kuwa kila maendeleo yanayofanyika ni jitihada binafsi ya raisi. Hizi hongera zimekuwa nyingi kama vile pesa inatoka mfukoni kwake.
Sio vibaya nguvu kubwa ikitumika kuonyesha kodi yetu inafanya kazi gani na inatumika vipi. Mtu kama hana taarifa pana ya nini kinachofanyika nchini mwake huingia katika lile kundi la walalamikaji wasio na sifa ya kusikilizwa, kwa bahati mbaya wa aina hiyo wapo wengi sana.
 

Kamati ya bunge tembeleeni miradi ya TARURA huko vijijini mfano longido, simanjiro,karatu , Hai na kondoa muone madudu yaliyopo.​

Saizi ni uwazi na ukweli,hayo madudu yako wapi? Weka hapa kila mtu alone,kwani Loliondo hakuna network?
 
Kama pesa ni za Watanzania Rais wao ni nani? Kijiba cha roho πŸ˜‚πŸ˜‚

Bei zikipanda lawama kwa Rais ila akifanya vizuri ni Watzn 😬😬.
 
Kama pesa ni za Watanzania Rais wao ni nani? Kijiba cha roho πŸ˜‚πŸ˜‚

Bei zikipanda lawama kwa Rais ila akifanya vizuri ni Watzn 😬😬.
Alichagulia ma watanzania wa wapi? Huyo dada yenu failure hana uwezo wowote wa kuongoza.
 
Nasimama na Simba wa Yuda!!!!!
 
Hata maendeleo yenyewe yapo wapi?
Maendeleo yapo ndugu. Machinga wanavurumishwa na tubidhaa twao wasionekane mitaani. Mgambo waliokuwa wamepotea kipindi cha Simba wa Yuda sasa wanerudi kwa speed ya vururuvururu. Mgawo wa umeme tushaambiwa tutake tusitake lazima uwepo. Mwisho wa siku wao wanaramba asali! Unataka maendeleo gani zaidi ya hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…