Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,357
Hahaahah. . .
Nyamayao kwani wadada wa kileo tukoje jamani?
Au wakaka wa kileo ndio tatizo?
wakaka wa kileo ndio stroke yenyewe...madada wa kileo hamna uvumilivu kbsa c nawasoma humu?...hv Lizzy unaweza kujua mr wako ana hawara mpaka unapelekwa alipo na kushuhudia na kulala nje kwa miezi 6 mfululizo, hali/ hanywi ndani, yani yeye ni kubadili nguo asubuhi na kumuona kesho asubuhi kuja kubadili nguo tena awahi ofc na hapo umemuandalia mpaka boxer?