Mwaka mzima ndani ya safina ya Nuhu, usafi ulifanyikaje?

Mwaka mzima ndani ya safina ya Nuhu, usafi ulifanyikaje?

Umeleta jambo la kiimani halafu unataka sayansi ndio ijibu; kazi kweli kweli! Hivi kisayansi inawezekana mtu kutembea juu ya maji? Je kisayansi yawezekana mtu kufufuliwa!? Kisayansi pia inawezekana kuweka mikono juu ya mgonjwa na kusema sema baadhi ya maneno halafu mgonjwa akapona!? Kwa kua suala ulilolileta ni la kiimani, basi acha majibu ya kiimani yafanye kazi badala ya sayansi! Kwanza kitabu gani cha sayansi kimewahi kueleza habari za gharika la Nuhu!? Kama hakuna then acha kitabu hicho hicho ulicho tumia kujua habari za hilo gharika kijibu chenyewe badala ya Abort, Nelkon and Parker au UP na bwana Lambert
SeeView attachment VID-20180503-WA0083.mp4
 
Mimi nilipata ile safina ya kwenda mbeya miaka hiyo tulishuka ilula tukajisaidia hiyo safina ya nuhu ndio sijajua wao walitita wapi
 
Habari za wakati huu, wachambuzi makini wa masuala mbalimbali ya kunoanoa bongo; ni yangu matarajio kwamba mko salama! Naliweka swali hili mezani kutokana na kwamba nategemea kupata majibu ya kisayansi kuliko majibu yatokayo na mahaba ya kiimani na ndiyo sababu ya kuliweka jambo hili hapa na siyo kwenye jukwaa la dini.

Katika, kitabu cha Mwanzo 7:11, inaonyesha Nuhu, akiwa na miaka 600, tarehe 17 ya mwezi wa pili wa huo mwaka mvua kubwa ilianza kunyesha kwa wingi na kukoma baada ya siku 40, wakati ambapo aliendelea kukaa kwenye hiyo safina hadi maji yalipokukauka kwenye uso wa dunia, akatoka nje ya safina: Mwanzo 8:13-15, wakati Nuhu akiwa na miaka 601, tarehe 27 ya mwezi wa pili wa mwaka mwingine baada ya gharika; sawa na mwaka mmoja na siku 10 alizokaa kwenye safina tangu mvua iliponyesha na kukoma.

Sasa kwa kuwa kulikuwamo na wanyama najisi na wasafi, je, usafi ulifanyikaje, ili kuruhusu kuwepo kwa hali ya hewa nzuri, yakufanya maisha yaendele bila bughudha wala kutia shaka kwa msomaji wake?
Naongeza maswali; hiyo safina ilikuwa haina milango?

Vv
 
Umeleta jambo la kiimani halafu unataka sayansi ndio ijibu; kazi kweli kweli! Hivi kisayansi inawezekana mtu kutembea juu ya maji? Je kisayansi yawezekana mtu kufufuliwa!? Kisayansi pia inawezekana kuweka mikono juu ya mgonjwa na kusema sema baadhi ya maneno halafu mgonjwa akapona!? Kwa kua suala ulilolileta ni la kiimani, basi acha majibu ya kiimani yafanye kazi badala ya sayansi! Kwanza kitabu gani cha sayansi kimewahi kueleza habari za gharika la Nuhu!? Kama hakuna then acha kitabu hicho hicho ulicho tumia kujua habari za hilo gharika kijibu chenyewe badala ya Abort, Nelkon and Parker au UP na bwana Lambert
sasa wewe huoni kuwa ni uongo
kwa akili yako,;
mtu anaweza kutembea juu ya maji?
inawezekana mtu kufufuliwa?
mtu aliyekatika mkono au mguu anaweza kuombewa vikaota?(achana na usanii wa magonjwa unayodanganywa eti wamepona kwa magonjwa yasiyoonekana)
 
yani kwenye safina simba umuweke na mbuzi halafu asiliwe?
polar bear walimchukuaje kuta kule north!!!
sloth(the slowest animal on planet earth) kutoka australia kwenda israel angetumia miaka 200 kufika
tutoleeni fairytales zenu hapa
 
Hili jambo kuna watu hawataki kulijua wala kulisikia kabisaa!!
Na hao nguruwe walikua wangap wakawezakula uchaf wa viumbe vyote. Na uchafu wa nguruwe nao ulitupwa wapi. Kwa hiyo hata walikuwa wakioga, wakinyoa, wakifua, vazi likichakaa alikuwa anakula nguruwe. WATU MNA MAJIBU YA KIJINGA SANA, MEPESI
 
Mimi nilipata ile safina ya kwenda mbeya miaka hiyo tulishuka ilula tukajisaidia hiyo safina ya nuhu ndio sijajua wao walitita wapi
Ni ngumu kujua, jambo hili, mkuu.
 
Na hao nguruwe walikua wangap wakawezakula uchaf wa viumbe vyote. Na uchafu wa nguruwe nao ulitupwa wapi. Kwa hiyo hata walikuwa wakioga, wakinyoa, wakifua, vazi likichakaa alikuwa anakula nguruwe. WATU MNA MAJIBU YA KIJINGA SANA, MEPESI
Na hao nguruwe hawakuzaliana kwa kipindi chote? Nguruwe wawili wanaweza kuisafisha safina yote mwaka mzima?
 
Kwa hiyo walikusanya uchafu wote kwenye mifuko ya rambo? Mabaki ya vyakula, vinyesi vya wanyama na binadamu na mikojo.
Sipati picha hiyo hali ya hewa ilivyokuwa
Inawezakanaje katika hali hiyo ya hewa mtu atoke akiwa hai? Bila shaka walivaa mask mkuu, yenye mitungi ya oksijeni kama wazamiaji wa majini.
 
yani kwenye safina simba umuweke na mbuzi halafu asiliwe?
polar bear walimchukuaje kuta kule north!!!
sloth(the slowest animal on planet earth) kutoka australia kwenda israel angetumia miaka 200 kufika
tutoleeni fairytales zenu hapa
Hadithi hii ina utata sana, kama ingekuwa science fiction, ingetazamiwa kukamilika siku zijazo.
 
Mtalaam kwenye mambo haya
Lkn mi nadhani waliweka bomba la uchafu linaenda kwa juu, yaani mtu akijisaidia akaflush uchafu unapita kwenye hilo bomba unaenda kumwagwa kwa nje bomba linapotokea.
 
Na hao nguruwe walikua wangap wakawezakula uchaf wa viumbe vyote. Na uchafu wa nguruwe nao ulitupwa wapi. Kwa hiyo hata walikuwa wakioga, wakinyoa, wakifua, vazi likichakaa alikuwa anakula nguruwe. WATU MNA MAJIBU YA KIJINGA SANA, MEPESI
Acha kua na akili matope wewe na viswali vyako vya darasa la pili,hivi hapo mwenyewe unajiona bonge la GT kuuliza hivyo viswali eeh?

Ungeandika bila hivyo vikashfa vyako vya kipumbavu ningekuelewesha ila wewe ni wa hovyo na ni wakupuuzwa tu.
 
Lkn mi nadhani waliweka bomba la uchafu linaenda kwa juu, yaani mtu akijisaidia akaflush uchafu unapita kwenye hilo bomba unaenda kumwagwa kwa nje bomba linapotokea.
Kumbe walikuwa na teknolojia kubwa kiasi hicho!
 
Back
Top Bottom