cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Kwwnye safinaHIVI WALIKULA WAPI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwwnye safinaHIVI WALIKULA WAPI
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe nadhani unawatafuta wasiojulikanaNoah ipi ?mbn tulizoahidiwa hazijaja?
nguruwe ni zao la uchafu achilia mbali sehemu ya kuhifadhia uchafu...mla nguruwe hana tofauti na mla nya
Wewe tayari umeshaona ni uongo!sasa wewe huoni kuwa ni uongo
kwa akili yako,;
mtu anaweza kutembea juu ya maji?
inawezekana mtu kufufuliwa?
mtu aliyekatika mkono au mguu anaweza kuombewa vikaota?(achana na usanii wa magonjwa unayodanganywa eti wamepona kwa magonjwa yasiyoonekana)
Kumbe waliwasha na moto mle ndani, huo moshi uliwaacha salama kweli? Ukizingatia moshi usambaa sana mvua inapokuwa ikinyesha.Sasa kama geti lilifungwa na Mungu mwenyewe,unadhani kingeshindikana nini tena? Mvua ilinyesha 40 days na maji yalikauka miezi sita baadaye. Mwisho si utatuuliza kuni walikozipata.![emoji23]
Hapa lingepatikana jibu tu, ndipo tunge fikiri, vinginevyo!Kuna Kitu nimegundua kuwa jukwaa la Jamii Intelligence kuna watu wameshindwa kulitambua kabisa maana uwezo wao binafsi tu wakufikiri unajionyesha dhahiri kuwa hili jukwaa wanaliparamia tu
Iz ndo bhangi za mtoniMimi nimewahi panda gari ya Noah
Kama safina yenyewe, ilijengwa kwa vipimo vya kisayansi, kwanini jibu la usafi na mambo mengine yenye utata mwingi, yajibiwe kiimani? Maana ingekuwa imetokea kiumujiza bila Nuhu kuvuja jasho katika kuitengeneza siku hadi siku, nisinge hoji! Lakini kwa sababu ili jengwa kwa nyundo, msumeno, mbao, lami, na misumali, hapo sayansi lazima itupe majibu sahihi, juu ya habari kamili!Duuuuuuu hiii nayo kali ngoja watashi wa mambo waje pengine tunaweza pata jambo la kufumbua hili fumbo la imani unaloladhimisha tulijibu kutumia sayansi ambayo inapingana na uwepo wa mungu na haya matendo yaliyotendeka miaka tillion iliyopita.
Kisayansi inajulikana mdudu anavyoingia kwenye kokwa la embe, na mtu akiuliza anapata jibu kamili. Je, na usafi kwenye safina ya Nuhu, ulifanyika kama mdudu anavyoingia kwenye kokwa? Naomba, ufafanuzi, tafadhali!Mwisho wa siku utauliza funza kaingiaje kwenye kokwa la embe
Ukijua usafi, ulifanyikaje! Mambo kama walionaje, walikulaje, walilalaje na mengine yenye utata, yanakuwa yamepata majibu. Kumbuka kwamba kila swali lina jibu lake sahihi lakini siyo kila jibu ni sahihi kwa swali husika.Sasa si umuulize Nuhu mkuu, sisi tulikuwepo? Au ulitaka kila kitu kiandikwe maana mwisho wa siku utauliza walikuwa wanalalaje
Sawa ila kuna kila sababu ya kumuuliza mungu ambae ndie alietoa maagizo na ramani ya safina na kama si hivyo basi hatutapata majibu kabsa ndugu.Kama safina yenyewe, ilijengwa kwa vipimo vya kisayansi, kwanini jibu la usafi na mambo mengine yenye utata mwingi, yajibiwe kiimani? Maana ingekuwa imetokea kiumujiza bila Nuhu kuvuja jasho katika kuitengeneza siku hadi siku, nisinge hoji! Lakini kwa sababu ili jengwa kwa nyundo, msumeno, mbao, lami, na misumali, hapo sayansi lazima itupe majibu sahihi, juu ya habari kamili!