Mwaka mzima ndani ya safina ya Nuhu, usafi ulifanyikaje?

Mwaka mzima ndani ya safina ya Nuhu, usafi ulifanyikaje?

Kwa hiyo toa ushuhuda kwa mtoa mada namna uchafu wa wanyama uliopanda nao ktk Noah ulivyosafishwa au kutoka ikiwa mvua ilinyesha siku 40 bila kukatika.
wewe kwenu mvua ikinyesha hamtupi uchafu nje? kwenye meli ya starehe Cruz ships amabazo zinasafiri masafa marefu sana baharini je huko hawanaga uchafu na wanatupa wapi. hiyo mvua siku arobaini ilikuwa inazua nini kutupa uchafu huko kwenye maji?
 
Ayo mambo yalifanyika kwa uweza wa nguvu za Mungu,kwaiyo yeye mwenyewe anajua waliishije ndani ya iyo safina.Kwasababu kama aliweza kuwaumba unadhani alishindwa kuwafunga choo mwaka mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ayo mambo yalifanyika kwa uweza wa nguvu za Mungu,kwaiyo yeye mwenyewe anajua waliishije ndani ya iyo safina.Kwasababu kama aliweza kuwaumba unadhani alishindwa kuwafunga choo mwaka mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafungwa choo wakiwa wanakula au hawali? Na ushuzi nao ukifungwa?
 
wewe kwenu mvua ikinyesha hamtupi uchafu nje? kwenye meli ya starehe Cruz ships amabazo zinasafiri masafa marefu sana baharini je huko hawanaga uchafu na wanatupa wapi. hiyo mvua siku arobaini ilikuwa inazua nini kutupa uchafu huko kwenye maji?
duniani kuna different species of animal around 9 million
ukizidisha mara mbili(jike na dume) unapata wanyama 18 milioni
safina ya nuhu ni kama mita 80 kwa urefu na upana haifiki mita 50
niambie wanyama milioni 18 wanaeneaje kwenye the so called safina🙁🙁🙁😉
black people should stop making fun of yourselves
hivi vichekesho waachie wazungu wenyewe wadili navyo,havikuhusu
 
hahaaa "" kwamba alikuwa akisha kula huo uchafu hanyi ""au !? na akisha kunya anakula tena kinyesi chake "" kwa hiyo mzunguko wa maisha ya nguruwe ulikuwa hivyo hivyo "" aisee Hawa Jamaa waongo sana
kulikuwa na dirisha ambalo lilitumika kumtoa kunguru akaangalie kama maji yamekauka. Kunguru alipotoka akaona mizoga hakurudi kwenye safina akatumwa njiwa akarudi amebeba jani ishara ya kukauka maji na majani kuota. Uchafu ulikuwa unatupwa kupitia dirisha hili
 
duniani kuna different species of animal around 9 million
ukizidisha mara mbili(jike na dume) unapata wanyama 18 milioni
safina ya nuhu ni kama mita 80 kwa urefu na upana haifiki mita 50
niambie wanyama milioni 18 wanaeneaje kwenye the so called safina🙁🙁🙁😉
black people should stop making fun of yourselves
hivi vichekesho waachie wazungu wenyewe wadili navyo,havikuhusu
Which means it is a cooked story, right?
 
kulikuwa na dirisha ambalo lilitumika kumtoa kunguru akaangalie kama maji yamekauka. Kunguru alipotoka akaona mizoga hakurudi kwenye safina akatumwa njiwa akarudi amebeba jani ishara ya kukauka maji na majani kuota. Uchafu ulikuwa unatupwa kupitia dirisha hili
Kwa hiyo kila mnyama alifungiwa kifaa maalum ambacho kilikusanya kinyesi na mikojo ili uchafu huo utupwe nje kupitia dirishani, siyo?
 
kulikuwa na dirisha ambalo lilitumika kumtoa kunguru akaangalie kama maji yamekauka. Kunguru alipotoka akaona mizoga hakurudi kwenye safina akatumwa njiwa akarudi amebeba jani ishara ya kukauka maji na majani kuota. Uchafu ulikuwa unatupwa kupitia dirisha hili
bado ni myth "" sidhani kama population ya wanyama iliyopo humo "" ili ruhusu watu kuweza kukusanya uchafu ipaswavyo " ......idadi ya wanyama waliokuwepo duniani unaifahamu vyema ndugu "" ""?
 
kulikuwa na dirisha ambalo lilitumika kumtoa kunguru akaangalie kama maji yamekauka. Kunguru alipotoka akaona mizoga hakurudi kwenye safina akatumwa njiwa akarudi amebeba jani ishara ya kukauka maji na majani kuota. Uchafu ulikuwa unatupwa kupitia dirisha hili
ulishajiuliza walikuwa wana kula nini ""?? kwa muda huo wote wa mwaka mzima "?
 
kama safina ilikua inaelea na haikuzama usafi ulifanyika kirahisi wala si swali hilo ni kama kwenye meli zetu za leo vile taka zote baharini, labda ungeuliza walikua na chakula cha aina gani kuwatosha waka mzima, kuna wanyama wanaokula nyama tu walikua na nyama kiasi gani, wanaokula nyasi tu je walikua na nyasi kiasi gani za kuwatosha mwaka mzima, walao matunda nk.
 
kama safina ilikua inaelea na haikuzama usafi ulifanyika kirahisi wala si swali hilo ni kama kwenye meli zetu za leo vile taka zote baharini, labda ungeuliza walikua na chakula cha aina gani kuwatosha waka mzima, kuna wanyama wanaokula nyama tu walikua na nyama kiasi gani, wanaokula nyasi tu je walikua na nyasi kiasi gani za kuwatosha mwaka mzima, walao matunda nk.
Hivi safina ilikuwa meli?
 
[QUOTEa="Manton, post: 27240420, member: 75470"]Hivi safina ilikuwa meli?[/QUOTE]
kaka ayo majina tu kulingana na lugha za maeneo na nyakati husika, lakini mfano niliokupa sawa na boti, jahazi mitumbwi, ata ao watu wangekua wanaelea na maboya bado ungeuliza walikua wanajisaidia wapi mwaka mzima badala ya kuuliza waliweza kuishi vp kwa chakula na mabadiliko ya hali ya hewa kama pepo mawimbi tsunami nk maana ukumbuke ayo maji yalikua zaidi ya bahari kwakua yalifunika uso wote wa dunia, milima yote mikubwa ilifunikwa ikiwa na maana dunia nzima maji matupu.
 
Kufunikwa lami ndani na nje unakueleweje? Kama safina ili kuwa kama meli, captain alikuwa nani, na ilikuwa ikisafiri kuelekea wapi?
Kulikuwa na milango kwa juu.
Kumbuka jinsi njiwa alivyotumwa na kuleta jani baada ya gharika kutulia.
Pia kulikuwa na milango ya kuingiza hewa ambayo walikuwa wanaivuta ili kuishi.
Kapteni alikuwa Nuhu mwenyewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo kila mnyama alifungiwa kifaa maalum ambacho kilikusanya kinyesi na mikojo ili uchafu huo utupwe nje kupitia dirishani, siyo?
nuhu na wanawe walifanya kazi zote
 
[QUOTEa="Manton, post: 27240420, member: 75470"]Hivi safina ilikuwa meli?
kaka ayo majina tu kulingana na lugha za maeneo na nyakati husika, lakini mfano niliokupa sawa na boti, jahazi mitumbwi, ata ao watu wangekua wanaelea na maboya bado ungeuliza walikua wanajisaidia wapi mwaka mzima badala ya kuuliza waliweza kuishi vp kwa chakula na mabadiliko ya hali ya hewa kama pepo mawimbi tsunami nk maana ukumbuke ayo maji yalikua zaidi ya bahari kwakua yalifunika uso wote wa dunia, milima yote mikubwa ilifunikwa ikiwa na maana dunia nzima maji matupu.[/QUOTE]
Kigezo hiki kinapingana na maelezo ya simulizi ya Nuhu, kama ili kuwa meli, wapi ilipo piga nanga?
 
nikuulize unaelewa nini maana ya gharika, ukinijibu basi na ilo la nanga jibu unalo.
 
lazima ukumbuke hawakupanda kwenye safina kwaajili ya safari kutoka point A-B lengo lilikua kujinusuru na gharika kwaiyo popote maji yalipowapeleka ilikua sawa kikubwa usalama wao adi maji yalipokauka, ayo maswali unayouliza ata mtoto wangu wa miaka mitatu hawezi kuuliza maswali ya kipuuzi kama yako.
 
duniani kuna different species of animal around 9 million
ukizidisha mara mbili(jike na dume) unapata wanyama 18 milioni
safina ya nuhu ni kama mita 80 kwa urefu na upana haifiki mita 50
niambie wanyama milioni 18 wanaeneaje kwenye the so called safina🙁🙁🙁😉
black people should stop making fun of yourselves
hivi vichekesho waachie wazungu wenyewe wadili navyo,havikuhusu
Nakubaliana na hili swali lako Liko na mantiki sana, sio kuuliza uchafu ulienda wapi. Kutokana na elimu ya evolution wanyama wa kipindi hicho walikuwa ni wakubwa sana na wenye kilo za kutosha kuliko wa kipindi hiki, pia kuna aina nyingi za wanyama walio kuwepo nyakati hizo ila sasa washapotea kwaajili ya mazingira, kwa hiyo idadi inaweza kuwa kubwa sana. WALITOSHAJE KWENYE HAKO KABOX SAFINA?
 
Back
Top Bottom