Mwaka mzima ndani ya safina ya Nuhu, usafi ulifanyikaje?

SeeView attachment VID-20180503-WA0083.mp4
 
Mimi nilipata ile safina ya kwenda mbeya miaka hiyo tulishuka ilula tukajisaidia hiyo safina ya nuhu ndio sijajua wao walitita wapi
 
Naongeza maswali; hiyo safina ilikuwa haina milango?

Vv
 
sasa wewe huoni kuwa ni uongo
kwa akili yako,;
mtu anaweza kutembea juu ya maji?
inawezekana mtu kufufuliwa?
mtu aliyekatika mkono au mguu anaweza kuombewa vikaota?(achana na usanii wa magonjwa unayodanganywa eti wamepona kwa magonjwa yasiyoonekana)
 
yani kwenye safina simba umuweke na mbuzi halafu asiliwe?
polar bear walimchukuaje kuta kule north!!!
sloth(the slowest animal on planet earth) kutoka australia kwenda israel angetumia miaka 200 kufika
tutoleeni fairytales zenu hapa
 
Hili jambo kuna watu hawataki kulijua wala kulisikia kabisaa!!
Na hao nguruwe walikua wangap wakawezakula uchaf wa viumbe vyote. Na uchafu wa nguruwe nao ulitupwa wapi. Kwa hiyo hata walikuwa wakioga, wakinyoa, wakifua, vazi likichakaa alikuwa anakula nguruwe. WATU MNA MAJIBU YA KIJINGA SANA, MEPESI
 
Mimi nilipata ile safina ya kwenda mbeya miaka hiyo tulishuka ilula tukajisaidia hiyo safina ya nuhu ndio sijajua wao walitita wapi
Ni ngumu kujua, jambo hili, mkuu.
 
Na hao nguruwe walikua wangap wakawezakula uchaf wa viumbe vyote. Na uchafu wa nguruwe nao ulitupwa wapi. Kwa hiyo hata walikuwa wakioga, wakinyoa, wakifua, vazi likichakaa alikuwa anakula nguruwe. WATU MNA MAJIBU YA KIJINGA SANA, MEPESI
Na hao nguruwe hawakuzaliana kwa kipindi chote? Nguruwe wawili wanaweza kuisafisha safina yote mwaka mzima?
 
Kwa hiyo walikusanya uchafu wote kwenye mifuko ya rambo? Mabaki ya vyakula, vinyesi vya wanyama na binadamu na mikojo.
Sipati picha hiyo hali ya hewa ilivyokuwa
Inawezakanaje katika hali hiyo ya hewa mtu atoke akiwa hai? Bila shaka walivaa mask mkuu, yenye mitungi ya oksijeni kama wazamiaji wa majini.
 
yani kwenye safina simba umuweke na mbuzi halafu asiliwe?
polar bear walimchukuaje kuta kule north!!!
sloth(the slowest animal on planet earth) kutoka australia kwenda israel angetumia miaka 200 kufika
tutoleeni fairytales zenu hapa
Hadithi hii ina utata sana, kama ingekuwa science fiction, ingetazamiwa kukamilika siku zijazo.
 
Mtalaam kwenye mambo haya
Lkn mi nadhani waliweka bomba la uchafu linaenda kwa juu, yaani mtu akijisaidia akaflush uchafu unapita kwenye hilo bomba unaenda kumwagwa kwa nje bomba linapotokea.
 
Na hao nguruwe walikua wangap wakawezakula uchaf wa viumbe vyote. Na uchafu wa nguruwe nao ulitupwa wapi. Kwa hiyo hata walikuwa wakioga, wakinyoa, wakifua, vazi likichakaa alikuwa anakula nguruwe. WATU MNA MAJIBU YA KIJINGA SANA, MEPESI
Acha kua na akili matope wewe na viswali vyako vya darasa la pili,hivi hapo mwenyewe unajiona bonge la GT kuuliza hivyo viswali eeh?

Ungeandika bila hivyo vikashfa vyako vya kipumbavu ningekuelewesha ila wewe ni wa hovyo na ni wakupuuzwa tu.
 
Lkn mi nadhani waliweka bomba la uchafu linaenda kwa juu, yaani mtu akijisaidia akaflush uchafu unapita kwenye hilo bomba unaenda kumwagwa kwa nje bomba linapotokea.
Kumbe walikuwa na teknolojia kubwa kiasi hicho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…