Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Swali lako la kipumbavuWewe mwaka ndio unaisha umemaliza mradi wako gani binafsi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lako la kipumbavuWewe mwaka ndio unaisha umemaliza mradi wako gani binafsi ?
Nani kakwambia Waziri hataki ukamilike? Hizo nadharia zako na matango Pori hayo jilishe mwenyeweHEP wote tunajua hata waziri mwenyewe hataki ukamilike so hapo tayari ni magumashi na visingizio ndo vimetawala!
Nani kakwambia pesa hamna? Acha chuki za kishamba weweMbele ya akina miguru pesa za tozo zinapitishwa kushoto. Pamoja na makusanyo mengi utaambiwa pesa hamna. Mama kaingizwa chaka
Mambo gani yamelala? Weka ushahidiHata kama ilitakiwa iishe baada ya miezi au miaka ila hapa tuanaangalia mambo yamelala sana! Yaani kwa kweli inasikitisha sana!
Huo ni ukweli halisi ila yote hukumu yake itakuwa 2025Kwa uchunguzi wangu miradi mingi ya ujenzi ya serkali iko nyuma sana tokea utawala huu wa mama Samia uingie! Natoa mifano ifatayo!
Ujenzi wa barabara ya Kumara mpaka kibaha ulikuwa umekamilika kwa zaidi ya asilimia 94 lakini mpaka sasa hakuna umaliziaji wa barabara hiyo.
Ujenziwa daraja mahususi la mto wami ukipita maeneo hayo unaona kabisa mwenendo wake wa ujenzi unasuasua sana.
Ujenzi wa barabara za mitaa hususani Dar kama umesimama kidogo mwendo kasi ya Mbagala wanajitahidi kujikongoja na pia ujenzi wa fly over za chang'ombe na uhasibu uko na kasi ndogo sana.
Ujenzi wa daraja la Busisi nao uko chini na majuzi tumeona watu wakihujumu pia tumemuona Mbarawa akiwa huko ila hali pia si shwari, Ujenzi wa meli ya MV Mwanza nao polepole sana.
Ujenzi wa terminal airport ya mwanza umaliziaji haufanyiki!
na mikoa mingine pia kasi ya ujenzi sio nzuri.
Hata barabara ya kuunganisha tabora kigoma naona mkandarasi anaruruka tu vipande kadhaa havijakamilika!
Upande wa Kakonko kuja kasulu napo changamoto Nyanza Roads Construction huko chini sana.
Lakini yote hayo sio tatizo ila serkali bado inatuamimisha kuwa inakusanya kodi zaidi ya kipindi cha awamu ya tano ikiwemo na tozo katika miamala!
Bila kuweoo kwa fedha za UVICO ambazo zinaifanya serkali ionekane kuna kitu inafanya kwa ujenzi wa madarasa na zahanati hakuna kitu kingine cha maana serkali ingeonekana imefanya!
Natoa rai kwa Serkali ijitahidi sana kusimamia miradi hii mahususi kwa taifa letu ikamilike!
Ukianza miradi bila mipango haya ndiyo matokeo uyatarajie. Kwenye project management kuna vitu critical lazima uviangalie. Concepts za Ghant Chart, resource scheduling, critical path analysis, dummy activities zote zinaihusu miradi iliyoanzishwa hovyo.Kwa uchunguzi wangu miradi mingi ya ujenzi ya serkali iko nyuma sana tokea utawala huu wa mama Samia uingie! Natoa mifano ifatayo!
Ujenzi wa barabara ya Kumara mpaka kibaha ulikuwa umekamilika kwa zaidi ya asilimia 94 lakini mpaka sasa hakuna umaliziaji wa barabara hiyo.
Ujenziwa daraja mahususi la mto wami ukipita maeneo hayo unaona kabisa mwenendo wake wa ujenzi unasuasua sana.
Ujenzi wa barabara za mitaa hususani Dar kama umesimama kidogo mwendo kasi ya Mbagala wanajitahidi kujikongoja na pia ujenzi wa fly over za chang'ombe na uhasibu uko na kasi ndogo sana.
Ujenzi wa daraja la Busisi nao uko chini na majuzi tumeona watu wakihujumu pia tumemuona Mbarawa akiwa huko ila hali pia si shwari, Ujenzi wa meli ya MV Mwanza nao polepole sana.
Ujenzi wa terminal airport ya mwanza umaliziaji haufanyiki!
na mikoa mingine pia kasi ya ujenzi sio nzuri.
Hata barabara ya kuunganisha tabora kigoma naona mkandarasi anaruruka tu vipande kadhaa havijakamilika!
Upande wa Kakonko kuja kasulu napo changamoto Nyanza Roads Construction huko chini sana.
Lakini yote hayo sio tatizo ila serkali bado inatuamimisha kuwa inakusanya kodi zaidi ya kipindi cha awamu ya tano ikiwemo na tozo katika miamala!
Bila kuweoo kwa fedha za UVICO ambazo zinaifanya serkali ionekane kuna kitu inafanya kwa ujenzi wa madarasa na zahanati hakuna kitu kingine cha maana serkali ingeonekana imefanya!
Natoa rai kwa Serkali ijitahidi sana kusimamia miradi hii mahususi kwa taifa letu ikamilike!
Mwanzoni ulikuwa na point unapozungumzia fedha za fidia usimsingizi Magufuli kwa kuwa walishalipwa wakatapeliana wao kwa wao sasa hapo tunataka serkali ibebe ujinga wa kutapeliana kama wanahaki serkali mpya hii hapa wakashitaki tofauti na hapo ni umbea!Ukianza miradi bila mipango haya ndiyo matokeo uyatatajie. Kwenye project management kuna vitu critical lazima uviangalie. Concepts za Ghant Chart, resource scheduling, critical path analysis, dummy activities zote zinaihusu miradi iliyoanzishwa hovyo.
Magufuli alianzisha miradi mikubwa kama 3 akiwa hajui atapata wapi fefha; yaani SGR, Stiglers gorge dam na kuhamia Dodoma. Impact ya miradi hii ilikuwa ni kukopa sana kwenye financial institutions kiasi kwamba kwa miaka 5 alikopa kuliko miaka 10 ya JK.
Pili ku deny huduma za jamii kama mishahara ya wafanyakazi, ajira mpya na kunyang'anya fedha za korosho, kupunguza fedha za HESLB.
Mbaya kuliko ni kuchukua fedha za DANIDA zilizokuwa CRDB na kuunda TRA Task force iliyokuwa inanyang'anya fedha za wafanyabiashara.
Isitoshe kusema Magufuli alikuwa shetani kwenye umbo la binadamu. Ni kweli alijenga barabara ya Ubungo- Kibaha, lakini hakuwafidia wananchi aliowabomolea Ili tu apate fedha ya kulamilisha ujenzi.
Yote aliyofanya hayakumfurahisha Mungu kwa vile yalijaa ulaghai, dhuluma, wizi na ufeshuli ndiyo maana Mungu akamuondoa. Magufuli hakustahili kuwa Rais kwenye nchi ya wastaarabu kama Tanzania. Let him rot in hell
Kwa hela za msaada kwa hiyo bila corona asinge fanya kitu!Kila kiongozi anayeingi madarakani anavipaumbele vyake . Mh. Samia kipaumbele chake ujenzi wa madarasa na kurudisha shule watoto mliowapa mimba na kuwa kimbia. Kwenye hayo mambo mawili yanaenda kwa kasi ya juu zaidi haijawahi kutokea hongera kwake
Kwa uchunguzi wangu miradi mingi ya ujenzi ya serkali iko nyuma sana tokea utawala huu wa mama Samia uingie! Natoa mifano ifatayo!
Ujenzi wa barabara ya Kumara mpaka kibaha ulikuwa umekamilika kwa zaidi ya asilimia 94 lakini mpaka sasa hakuna umaliziaji wa barabara hiyo.
Ujenziwa daraja mahususi la mto wami ukipita maeneo hayo unaona kabisa mwenendo wake wa ujenzi unasuasua sana.
Ujenzi wa barabara za mitaa hususani Dar kama umesimama kidogo mwendo kasi ya Mbagala wanajitahidi kujikongoja na pia ujenzi wa fly over za chang'ombe na uhasibu uko na kasi ndogo sana.
Ujenzi wa daraja la Busisi nao uko chini na majuzi tumeona watu wakihujumu pia tumemuona Mbarawa akiwa huko ila hali pia si shwari, Ujenzi wa meli ya MV Mwanza nao polepole sana.
Ujenzi wa terminal airport ya mwanza umaliziaji haufanyiki!
na mikoa mingine pia kasi ya ujenzi sio nzuri.
Hata barabara ya kuunganisha tabora kigoma naona mkandarasi anaruruka tu vipande kadhaa havijakamilika!
Upande wa Kakonko kuja kasulu napo changamoto Nyanza Roads Construction huko chini sana.
Lakini yote hayo sio tatizo ila serkali bado inatuamimisha kuwa inakusanya kodi zaidi ya kipindi cha awamu ya tano ikiwemo na tozo katika miamala!
Bila kuweoo kwa fedha za UVICO ambazo zinaifanya serkali ionekane kuna kitu inafanya kwa ujenzi wa madarasa na zahanati hakuna kitu kingine cha maana serkali ingeonekana imefanya!
Natoa rai kwa Serkali ijitahidi sana kusimamia miradi hii mahususi kwa taifa letu ikamilike!
Ushasau hela ya tozo inaendelea kuinua Taifa . Awamu ya tano ilikuwa inategemea kunyang'anya hela toka kwenye akaunti za watu binafsiKwa hela za msaada kwa hiyo bila corona asinge fanya kitu!
Nani kakwambia pesa hamna? Acha chuki za kishamba wewe
Kumbe hapa bongo tuna flyover? Ckua nafaham asee 🤔🤔🤔Kwa uchunguzi wangu miradi mingi ya ujenzi ya serkali iko nyuma sana tokea utawala huu wa mama Samia uingie! Natoa mifano ifatayo!
Ujenzi wa barabara ya Kumara mpaka kibaha ulikuwa umekamilika kwa zaidi ya asilimia 94 lakini mpaka sasa hakuna umaliziaji wa barabara hiyo.
Ujenziwa daraja mahususi la mto wami ukipita maeneo hayo unaona kabisa mwenendo wake wa ujenzi unasuasua sana.
Ujenzi wa barabara za mitaa hususani Dar kama umesimama kidogo mwendo kasi ya Mbagala wanajitahidi kujikongoja na pia ujenzi wa fly over za chang'ombe na uhasibu uko na kasi ndogo sana.
Ujenzi wa daraja la Busisi nao uko chini na majuzi tumeona watu wakihujumu pia tumemuona Mbarawa akiwa huko ila hali pia si shwari, Ujenzi wa meli ya MV Mwanza nao polepole sana.
Ujenzi wa terminal airport ya mwanza umaliziaji haufanyiki!
na mikoa mingine pia kasi ya ujenzi sio nzuri.
Hata barabara ya kuunganisha tabora kigoma naona mkandarasi anaruruka tu vipande kadhaa havijakamilika!
Upande wa Kakonko kuja kasulu napo changamoto Nyanza Roads Construction huko chini sana.
Lakini yote hayo sio tatizo ila serkali bado inatuamimisha kuwa inakusanya kodi zaidi ya kipindi cha awamu ya tano ikiwemo na tozo katika miamala!
Bila kuwepo kwa fedha za UVICO ambazo zinaifanya serkali ionekane kuna kitu inafanya kwa ujenzi wa madarasa na zahanati hakuna kitu kingine cha maana serkali ingeonekana imefanya!
Natoa rai kwa Serkali ijitahidi sana kusimamia miradi hii mahususi kwa taifa letu ikamilike!
Kama zipo fanyeni maendeleo kama maghufuli,miradi itembee kama magufuli.Nani kakwambia pesa hamna? Acha chuki za kishamba wewe
Tatizo ni awamu iliopita haikujua vipaumbele ni vipi.
hakuna nchi iliyoendelea kwa propaganda na viingereza vya namna hii, tunataka kazi tu tena za kuonekanaUkianza miradi bila mipango haya ndiyo matokeo uyatarajie. Kwenye project management kuna vitu critical lazima uviangalie. Concepts za Ghant Chart, resource scheduling, critical path analysis, dummy activities zote zinaihusu miradi iliyoanzishwa hovyo.
Magufuli alianzisha miradi mikubwa kama 3 akiwa hajui atapata wapi fefha; yaani SGR, Stiglers gorge dam na kuhamia Dodoma. Impact ya miradi hii ilikuwa ni kukopa sana kwenye financial institutions kiasi kwamba kwa miaka 5 alikopa kuliko miaka 10 ya JK.
Pili ku deny huduma za jamii kama mishahara ya wafanyakazi, ajira mpya na kunyang'anya fedha za mfuko wa korosho, kupunguza fedha za HESLB.
Mbaya kuliko ni kuchukua fedha za DANIDA zilizokuwa CRDB na kuunda TRA Task force iliyokuwa inanyang'anya fedha za wafanyabiashara.
Isitoshe kusema Magufuli alikuwa shetani kwenye umbo la binadamu. Ni kweli alijenga barabara ya Ubungo- Kibaha, lakini hakuwafidia wananchi aliowabomolea Ili tu apate fedha ya kukamilisha ujenzi.
Yote aliyofanya hayakumfurahisha Mungu kwa vile yalijaa ulaghai, dhuluma, wizi na ufedhuli ndiyo maana Mungu akamuondoa. Magufuli hakustahili kuwa Rais kwenye nchi ya wastaarabu kama Tanzania. Let him rot in hell
Tutajie mdogo ulioisha? umeona kuna hata ajir amoja imetoa?Kwa uchunguzi wangu miradi mingi ya ujenzi ya serkali iko nyuma sana tokea utawala huu wa mama Samia uingie! Natoa mifano ifatayo!
Ujenzi wa barabara ya Kumara mpaka kibaha ulikuwa umekamilika kwa zaidi ya asilimia 94 lakini mpaka sasa hakuna umaliziaji wa barabara hiyo.
Ujenziwa daraja mahususi la mto wami ukipita maeneo hayo unaona kabisa mwenendo wake wa ujenzi unasuasua sana.
Ujenzi wa barabara za mitaa hususani Dar kama umesimama kidogo mwendo kasi ya Mbagala wanajitahidi kujikongoja na pia ujenzi wa fly over za chang'ombe na uhasibu uko na kasi ndogo sana.
Ujenzi wa daraja la Busisi nao uko chini na majuzi tumeona watu wakihujumu pia tumemuona Mbarawa akiwa huko ila hali pia si shwari, Ujenzi wa meli ya MV Mwanza nao polepole sana.
Ujenzi wa terminal airport ya mwanza umaliziaji haufanyiki!
na mikoa mingine pia kasi ya ujenzi sio nzuri.
Hata barabara ya kuunganisha tabora kigoma naona mkandarasi anaruruka tu vipande kadhaa havijakamilika!
Upande wa Kakonko kuja kasulu napo changamoto Nyanza Roads Construction huko chini sana.
Lakini yote hayo sio tatizo ila serkali bado inatuamimisha kuwa inakusanya kodi zaidi ya kipindi cha awamu ya tano ikiwemo na tozo katika miamala!
Bila kuwepo kwa fedha za UVICO ambazo zinaifanya serkali ionekane kuna kitu inafanya kwa ujenzi wa madarasa na zahanati hakuna kitu kingine cha maana serkali ingeonekana imefanya!
Natoa rai kwa Serkali ijitahidi sana kusimamia miradi hii mahususi kwa taifa letu ikamilike!