Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shosti mzima?![emoji38][emoji38]imeniuma hapo unadhani mwanaume ni .... tu,ila fresh mwanangu pisi ziko nyingi tafuta nyingine ukupooze machungu na baridi hili
Mama ake anahusika vipi sasa mkuu?! 🤣🤣🤣Eti usinipigie hesabu mshahara wangu. Kmmk
Kijiwe cha kahawa 😂😂😂Lakini wewe uliwaambia wenzio humu hut*mbani, ila unanyonywa tu.
Kweli JF ni kijiweni.
🤣🤣🤣 da Mai mambo?bora wewe umeachwa ila anawivu bado na ww kuna watu wanaachwa vibaya asikwambie Mtu
check huyu View attachment 2878506
Hao hawaachani ng’oKwa hizo chats hamjaachana na hamuwezi kuachana🤣
We si unajiita chizi ndo universe imekuletea chizi mwenzio.....hizo ni karaha tu ndogo ndogo na za kawaida kwenye mapenzi.
Halafu halina kashata limepowa 🤣🤣🤣Gahawa chungu dada.
Happy new year.
kivuruge wangu jaman,alaaniwe anayekufichaShosti mzima?!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Pole sanaHuyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Nimekumiss😍😍 vipi shem na mtoto wetu wanaendeleaje.?kivuruge wangu jaman,alaaniwe anayekuficha
Ujiandae na ww, da maua ni zaidi ya huyo 🤣🤣🤣Mapenzi yanarun dunia
Daaaah... Mara moja moja nlisema nakamua mafuta.Lakini wewe uliwaambia wenzio humu hut*mbani, ila unanyonywa tu.
Kweli JF ni kijiweni.
Usimpampishe bn hasomagi thread yy akiweka bando anaandika tu kitu imekuja kichwaniUjiandae na ww, da maua ni zaidi ya huyo 🤣🤣🤣
Huyu lazima ataniacha. Sina pesa ya kumhonga. Hawezi kaa nami.Hao hawaachani ng’o
Halafu watu wanaotumiana msg za hivi, usiingilie utaabika utashangaa kesho wako pamoja 😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Mwenzio shost yangu nampendaga kweli, penzi lenu nimelipitisha bila kupingwa!!Usimpampishe bn hasomagi thread yy akiweka bando anaandika tu kitu imekuja kichwani