Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ww mwanzo ulimzoesha endelea tyuu kutoa huduma.! Lasivyo na hizi mvua utapata ngiriHuyu lazima ataniacha. Sina pesa ya kumhonga. Hawezi kaa nami.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww mwanzo ulimzoesha endelea tyuu kutoa huduma.! Lasivyo na hizi mvua utapata ngiriHuyu lazima ataniacha. Sina pesa ya kumhonga. Hawezi kaa nami.
Wanajua kun'gan'gania kinomaa aniHuyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Kazi yangu hapo inahusikaje sister?Kwani hufanyi kazi?
🤣🤣🤣 Au ndo maana anaona huu ndo wakati wa kuanza kunikamua? Nimebadili sera za uwekezaji. Huyu dada nlimpa sana pesa. Sasa sera zimebadilika.Ww mwanzo ulimzoesha endelea tyuu kutoa huduma.! Lasivyo na hizi mvua utapata ngiri
Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
😂😂😂Unabaki kusema nashukuru, kwani ulikuwa unabarikiwa?
Kutwa kujidai kidume humu jukwaani, kutunishiana misuli na wanajukwaa. Ila huko nje umelegea ka mlenda pori.
Ila umenichekesha unavyosema “Thank you 🙏” halafu wifi anakwambia “Kam thank you mama ako, mwanaume sio kut*mba tyuu… ujue na kuhudumia””🤣🤣🤣 Au ndo maana anaona huu ndo wakati wa kuanza kunikamua? Nimebadili sera za uwekezaji. Huyu dada nlimpa sana pesa. Sasa sera zimebadilika.
Nyani katemba bungo 😂😂😂 ila mwenye nyani anakomaa hataki bungo litemwe...Kazi kweli kweli 😀Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
mtoto wa kike alikuwa chuma ulete pro max. Mwamba kachoka kulipia Qumar kila akigonga anatwishwa bills tuEti usinipigie hesabu mshahara wangu. Kmmk
😂😂😂😂😂😂😂😂 mtt kuba smoke kweli wwMtavurugwa kinoma. Ila wala hajakuacha bali anakutishia. Ila kama ana-gut ya kukutukana hivyo we mshukuru Mungu tu maana hicho kikombe hukiwezi. Ila broo na wewe acha zongwa, wengine wamehonga gari, we mafuta tu yanakushinda?
Fursa ya kutatuliwa matatizo yake ndio inakuwa imemjia 😂😂😂 mashine ya hela na ukijitia bahili unaoga mitusi kama hiyoTatizo mijanajike ya kibongo wanatumia nyuchi zao kama mtaji na kuona kufanya nao mapenzi ni huduma kubwa sana wamekufanyia ambayo unapaswa uilipie.
Kibongo bongo mwanamke kutongozwa anahisi kama matatizo yake yote yameisha na ndio fursa ya kutafuta matatizo mapya.
Mwanamke ana domo chafu balaa kama choo cha stendiHuyo ungekuwa nae karibu angekupiga, sio kwa maneno hayo. Mwanamke anakuwaje na mdomo kiasi hicho aisee.
Acha kutoa zile dola 100/100 uone kama kuna atakae baki. The best way to be left with Tanzanian women is to pretend to be broke.Hivi mnafanyafanyaje mpaka wanawake wanawaacha?
Sisi wengine mpaka tunawakinai tunatamani watuache lakini wametung'ang'ania tu kama Super Glue hawataki kutuacha.
Naona mwaka huu umeamua kuvuka na chako mkuu 😂😂😂Huyu ni mbwa kweli kweli... Mshahara wake anataka awe anakula bata akiishiwa mimi nimfadhili. Mwaka huu Sihongi.
Kabisa. Nami nikigonga mara mbili tatu naanza kusema sipo vizuri kifedha... Wanantukana wanaondoka.... Mi si baba yao.Acha kutoa zile dola 100/100 uone kama kuna atakae baki. The best way to be left with Tanzanian women is to pretend to be broke.
Kabisa. Muswada ulipitishwa mwaka huu hakuna kutoa pesa. Ni kupita show tu ya uhakika. Raha tunapata wote why mi nilipie.Naona mwaka huu umeamua kuvuka na chako mkuu 😂😂😂
Hongera sana mwaka wa kuvuka na chako huu hamna kugawa hela kwa wapuuziKabisa. Muswada ulipitishwa mwaka huu hakuna kutoa pesa. Ni kupita show tu ya uhakika. Raha tunapata wote why mi nilipie.
Yani anaandika kwa kufoka as if anaongea na mtoto wake wa mwisho.Mwanamke ana domo chafu balaa kama choo cha stendi
Wanaume wengi sikuhiz wanatengeneza hizo text wengi sana, hata Madogo wengi wana depression. Hizo chat ni za kutengeneza Halafu cjui kwann wanaume sikuhiz wanafanya hivyo, ila kazi ngumu sanaBinti ana lugha chafu sanaa...
Kuhusu baridi kanunue blanket