Mwaka umeanza vibaya, Mwanamke ameniacha, Haina shida nashukuru Mungu tu

Mwaka umeanza vibaya, Mwanamke ameniacha, Haina shida nashukuru Mungu tu

fundi bishoo njoo ulie😀😂
Screenshot_20240118_131059_WhatsApp.jpg

Amelia hadi kachoka😂😂😂 red eyes
 
Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.

Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Wewe ni kama dulla makabila kwa zaylissa anayehongwa magari na pesa na manara.

Ila hiyo statement yake ya mwisho kuwa nayo makini...alivyokeambia kuwa lazima amjue huyo malaya wako na hayajaisha".

Tambua wanawake ni watu wa visasi sana yuko radhi akakuharibie maisha yako kwa waganga ili nafsi yake ifurahi. Jiandae kwa lolote kuanzia sasa hiyo ni vita umeinunua na kingine nilichogundua ni kuwa licha ya kuwa mbahili kumpa pesa huyo demu bado ulikuwa ukimt.omba vilivyo kiasi ni ngumu kwake kuachana na ww kirahisi ,so ujiandae kwa vita kali mbeleni
 
Back
Top Bottom