Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Nimekumiss mahi diha wangu๐Hao hawaachani ngโo
Halafu watu wanaotumiana msg za hivi, usiingilie utaabika utashangaa kesho wako pamoja ๐
Nimekaa pale....hamuachaniHawezi dumu nami. Sitompa pesa.
Mi pia wifi yangu kipenzi ๐๐Nimekumiss mahi diha wangu๐
Yuko poa ๐Mi pia wifi yangu kipenzi ๐๐
K aunt yangu anaendeleaje?
Msalimie mwambie kuna uncle ake ana jina km lake ๐Yuko poa ๐
Dah wanangu mnaojua kuwapa wanawake hela mnateseka [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119], And for these kind proofs nazoziona humu haki ya nani stokuja ku-settle kwenye relationship na hizo pisi type ya ombaomba
Blanket chapa mtuBinti ana lugha chafu sanaa...
Kuhusu baridi kanunue blanket
Mashallah ๐คฃ๐คฃ๐คฃ ntamwambiaMsalimie mwambie kuna uncle ake ana jina km lake ๐
Unabaki kusema nashukuru, kwani ulikuwa unabarikiwa?
Kutwa kujidai kidume humu jukwaani, kutunishiana misuli na wanajukwaa. Ila huko nje umelegea ka mlenda pori.
Mwanamke ukimnyenyekea lazima akuendeshe, Ukitia huruma mbele ya mwanamke umeharibubora wewe umeachwa ila anawivu bado na ww kuna watu wanaachwa vibaya asikwambie Mtu
check huyu View attachment 2878506
Hela zao ni zao, zetu pia ni zao.
Na wanaambiana hivyo kwenye vikao vyao
Shida ni kwamba hiyo kauli wengi wanaielewa vibaya. Mwisho wa siku wanauponza.Wanawak tumezaliwa na mama mmoja baba mmoja hiyo ndio agenda kuu kwenye kikao
๐๐๐๐๐๐Kabisa. Nami nikigonga mara mbili tatu naanza kusema sipo vizuri kifedha... Wanantukana wanaondoka.... Mi si baba yao.
Bado unaugulia maumivu? Mi ndo nilivyo nakugonga nakuacha unaumia, unalalamika nasonga mbele...mwanaume akiwa na tabia za kike hawezi dumu na mwanamke