Dah mkuu nashukuru kwa moyo wako wa kujitolea niseme asante utanitumia siku nyingine😂😂Nashukuru kwa kunikumbuka. Una account ya Bank ambayo naweza tuma pesa nikiwa huku Argentina? Angalau tu Usd kadhaa ukaenjoy nawe sikukuu.
Nashukuru kwa kunikumbuka. Una account ya Bank ambayo naweza tuma pesa nikiwa huku Argentina? Angalau tu Usd kadhaa ukaenjoy nawe sikukuu.
Chanzo niko hapaRebecca ninachojua amepigwa life ban( if I'm not mistaken). Kuna kipindi alikuwa na ugomvi usioisha na jamii forums na kikubwa alikuwa analalmika anaonewa, km anavyolalamika Genta.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ww ni mwanaume kenge ww acha kufake personality hukuMwisho wa mwaka unakaribia Sasa sijui ninani unataka kumwambia Nini mie nawatakia sikukuu njema wanajf wote