YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Zile unaziitaaga sijui za chemba siku hizi huna?mtoto muongo sana wewe[emoji23]
Muwache udugu wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile unaziitaaga sijui za chemba siku hizi huna?mtoto muongo sana wewe[emoji23]
Wenyewe ndio walizoea kuonea wanyonge wa dar, wakaugusa moto wa wanako. Hawatasahau, walikua hawawajui vizuri watu wa chuga.
Gari za wapi nitakuwa mimi huyo ..nikiwa kwenye gari siku moja, nimesimama, kuna baba mmoja bonge kanyoa upala na mtu alienawili sana~ nilimwona akilaunch program ya jf kwenye simu yake.
Udugu ana story zake hizo za chemba, uongo kama wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Muwache udugu wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Udugu ana story zake hizo za chemba, uongo kama wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pina alikimbia akawaacha wenzake aliona panga zinalia tu, zilipigwa hatari sana. Lord eyes ni zaidi ya gaidi, yupo fit kuliko kawaidaKwahiyo Kalapina alichezea?!!
Nakumbuka walimnyoaga Salama kisa alikandia ngoma yao mbaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zamani ilikuwa sifa kuwemo JF. Only ma intelectuals walikuwemo humu, hayta mijadala ilikuwa ya kiheshima, watu wanalumbana kwa hoja tu.
Toka vimburumatare kuwachiwa kusema sema hovyo, pamekuwa ni kama kijiwe cha wahuni tu. Woie sisi tumebadilish ID zetu za mwanzo. Mie nimo humu toka 2007 lakini kwa ID nyingine.
Na hii ntaipotezea karibuni.
Wewe ni mmoja wa mtu wa hovyo humu.Zamani ilikuwa sifa kuwemo JF. Only ma intelectuals walikuwemo humu, hayta mijadala ilikuwa ya kiheshima, watu wanalumbana kwa hoja tu.
Toka vimburumatare kuwachiwa kusema sema hovyo, pamekuwa ni kama kijiwe cha wahuni tu. Woie sisi tumebadilish ID zetu za mwanzo. Mie nimo humu toka 2007 lakini kwa ID nyingine.
Na hii ntaipotezea karibuni. Nasubiri DP World waanze kazi rasmi tu.
Pina alikimbia akawaacha wenzake aliona panga zinalia tu, zilipigwa hatari sana. Lord eyes ni zaidi ya gaidi, yupo fit kuliko kawaida
Toka hiyo 2007 hadi leo hawajakanyaga Arusha, sijui lini wataenda maana bado wanahisi beef inaendelea.
Aliiponda timu yetu yanga kuwa ina wachezaji wameleft group.Usinambie baby?!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipe moja nicheke
Kwa lipi zaidi?Wewe ni mmoja wa mtu wa hovyo humu.
mbeya mjini kwenda kyelaGari za wapi nitakuwa mimi huyo ..
Pina anaogopa sana watoto wa Arusha, bou nako alikua anaenda kwake kila siku kumtafuta wazichape akawa anamkosa, ikabidi ampigie simu kumwambia yupo wapi waonane wakichafue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wee Pina wanavyomkubali afu anapigwa kizembe
Aliiponda timu yetu yanga kuwa ina wachezaji wameleft group.
Nikaja kugundua kumbe ni kashabiki ka simba
Hujijui? Hapo hasara ni kwa wanaokuzungukaKwa lipi zaidi?
Pina anaogopa sana watoto wa Arusha, bou nako alikua anaenda kwake kila siku kumtafuta wazichape akawa anamkosa, ikabidi ampigie simu kumwambia yupo wapi waonane wakichafue[emoji1787][emoji1787]
Bou nako peke yake ndio hadi leo bado hajamaliza hii beef[emoji1787][emoji1787], wengine wote hawana tena noma
Udugu anazingua sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hataki kukubali km Yanga bingwa