cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] etiii eeeh?? Basi naiachaa ikae.hiyo ndo avatar yako nayo ifuwagiliaga uache kuweka makorokoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] etiii eeeh?? Basi naiachaa ikae.hiyo ndo avatar yako nayo ifuwagiliaga uache kuweka makorokoro
kumbe kuna mada uharo😂 we bibi umekuja kuwaje au ushapokea mahari kutoa dubaiKwa siku hizi, mtu mwenye heshima zake yeyote atasema huwa naiona tu JF mara moja moja, hawezi kukiri kama ni member mchangiaji mpaka awe na verified ID.
Takriban wote humu tunatumia unverified ID's kuchangia mada kiholela. Zile ID zetu verified au verified member huwezi kukuta anachangia mada uharo au akachangia ushuzi.
Mimi nikimwambia mtu anaenifahamu kuwa mimi ndiye FaizaFoxy wa JF anakataa kabisa kabisa, ni characters tofauti kama mbingu na ardhi.
We are using JF to vent out.
Watu wa Dubai kuanzia Ijumaa, Jumamosi, Jumapili ilikuwa ingia toka kwangu.kumbe kuna mada uharo😂 we bibi umekuja kuwaje au ushapokea mahari kutoa dubai
Soma kichwa Cha uzi wanguWewe apo ndio unautmia mbn simple tu
[emoji41][emoji41][emoji41] ndo nakusubiria hivyoSawa mjumbe labda utaniletea habari njema za Kristo mwokozi [emoji16]
Kimara BarutiUpo wapi Kwan
Wengi hatuhutumiiHata mimi situmii. Ila naujua.
Kama na we umecomment basi uzi ufungwe tuKwa siku hizi, mtu mwenye heshima zake yeyote atasema huwa naiona tu JF mara moja moja, hawezi kukiri kama ni member mchangiaji mpaka awe na verified ID.
Takriban wote humu tunatumia unverified ID's kuchangia mada kiholela. Zile ID zetu verified au verified member huwezi kukuta anachangia mada uharo au akachangia ushuzi.
Mimi nikimwambia mtu anaenifahamu kuwa mimi ndiye FaizaFoxy wa JF anakataa kabisa kabisa, ni characters tofauti kama mbingu na ardhi.
We are using JF to vent out.
Safi sana.Kama na we umecomment basi uzi ufungwe tu
Mrefu,ana kitambi,anafaa mibwanga na muda wote amechomekeaHivi mpwayungu yukoje? 😅
Siku nikikuona halafu ukawa mwembamba nitakataa,Huwa nakuona kama Mama mmoja wa makamo mwenye mwili kama wa Mama Samia,halafu muda wote una hijabu na mdomo mchafu kama wa Mwantumu wa DStvSafi sana.
Nilikutana na dada mmoja wa JF tukapanga tuonane tulivoonana nikakaomba mbususu kakakataa. Nikaachana nakoNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?